Miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali mkoani Rukwa

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,053
49,737
Screenshot_20240331-154033.jpg


Naendelea na mada zangu za Mkoa kwa Mkoa kuwahabarisha miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali ya mama mikoani.

Baada ya Kigoma na Mbeya sasa ni zamu ya Mkoa wa Rukwa.

Rukwa haijaachwa nyuma na upendo wa mama kwenye nyanja mbalimbali za kimaendeleo.

Hii ni baadhi ya miradi mikubwa inayoendelea na utekelezwaji Mkoani Rukwa ambayo italeta Mageuzi ya Uchumi wa watu wa Rukwa.
  • Ujenzi wa barabara ya Ntendo-Muze-Ilemba-Kaoze-Kilyamatundu/Kamsamba 200km
  • Ujenzi wa barabara ya Matai-Kasesya km 50 (Tanzania/Zambia Border)
  • Ujenzi wa barabara ya Laela-Mwimbi-Kizombwe-Matai km 100
  • Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga
  • Miradi wa Barabara za mitaa chini ya Tactic km 13
  • Mbeya Road -Kaengesa Seminary km 21
  • Ujenzi wa Chuo Kipya na Kikubwa Cha Ualimu Sumbawanga
  • Mradi wa Msongo mkubwa wa Umeme kuunganisha Rukwa na Grid ya Taifa wa KV 400(TAZA) kutoka Mbeya-Tunduma-Sumbawanga na Substation kubwa Sumbawanga
  • Ujenzi wa Hospital Mpya ya Rufaa ya Mkoa
  • Mradi mkubwa wa Utafiti wa Gas ya Helium(Zaidi ya Bil.400) Blonde la Ziwa Rukwa.
  • Usanifu wa Barabara za Kalambanzite-Ilemba,Lyazumbi-Kabwe na Namanyere -Kipili Port/Kirando, Muze-Kasansa-Majimoto,Laela-Kaleoula Jct-Mwimbi-Kizombwe kwa Ajili ya kujengwa kwa lami unaendelea.
  • Ujenzi wa jengo la Ofisi ya DC Nkasi
  • Ujenzi wa Jengo la Mwendesha Mashaka Mkoa
  • Ujenzi wa Daraja Kubwa Mto Kalambo
  • Ujenzi wa eneo la viwanda vidogo(Industrial Park)
  • Ujenzi wa Skimu ya Umwagiliaji Ilembe= 21 bln
  • Upanuzi wa Bandari ya Kasanga awamu ya 11
Miradi ambayo tayari amekwisha ikamilisha ni ifuatayo;
-Ujenzi wa Chuo Cha Veta Mkoa
-Ujenzi wa Hospital za Wilaya za Nkasi, Sumbawanga Manispaa,Kalambo,Nkasi na Sumbawanga Vijijini
-Ujenzi wa barabara ya Sumbawanga -Kasanga Port
-Ujenzi wa Bandari za Kasanga na Kabwe
-Ujenzi wa Majengo ya Utawala Kalambo na Sumbawanga DC


View: https://twitter.com/TanzaniaInvest/status/1718914342991642747?t=HRAFLbvPU5kGuKr_ISgqOw&s=19

Miradi hii ikikamilika itabadili kabisa taswira ya Mkoa wa Rukwa kutoka kuwa miongoni mwa Mikoa 10 Maskini Tanzania hadi kuwa mchangiani mkubwa kwenye Pato la Taifa.


View: https://youtu.be/bDknjIB-ar4?si=KbozRCob5RaJj5cC
 
katika hii mirani kuna ujenzi wa barabara ya kuunganisha rukwa na katavi? mikoa ambayo inawapigia kura nyingi ndo imesahaulika
Rukwa na Katavi zilishaingana kitambo,ilibakia section ya km 90 kwenye Hifadhi ya Taifa ya Katavi.

Hata hivyo Kuna Barabara 2 zinakatiza Hifadhi ,Moja inapitia Kwa former PM ya Kibaoni-Sitalike na Nyingine ya Sitalike-Kizi.

Serikali imeamua Kuijenga Kwa Lami hiyo ya Sitalike-Kibaoni na Mkandarasi Yuko site as we speak.
 
Rukwa na Katavi zilishaingana kitambo,ilibakia section ya km 90 kwenye Hifadhi ya Taifa ya Katavi.

Hata hivyo Kuna Barabara 2 zinakatiza Hifadhi ,Moja inapitia Kwa former PM ya Kibaoni-Sitalike na Nyingine ya Sitalike-Kizi.

Serikali imeamua Kuijenga Kwa Lami hiyo ya Sitalike-Kibaoni na Mkandarasi Yuko site as we speak.
kama ni mdau/mhusika tafadhali unanishaneni hizi mikoa kwa lami
 
Naendelea na mada zangu za Mkoa kwa Mkoa kuwahabarisha miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali ya mama mikoani.

Baada ya Kigoma na Mbeya sasa ni zamu ya Mkoa wa Rukwa.

Rukwa haijaachwa nyuma na upendo wa mama kwenye nyanja mbalimbali za kimaendeleo.

Hii ni baadhi ya miradi mikubwa inayoendelea na utekelezwaji Mkoani Rukwa ambayo italeta Mageuzi ya Uchumi wa watu wa Rukwa.
  • Ujenzi wa barabara ya Ntendo-Muze-Ilemba-Kaoze-Kilyamatundu/Kamsamba 200km
  • Ujenzi wa barabara ya Matai-Kasesya km 50 (Tanzania/Zambia Border)
  • Ujenzi wa barabara ya Laela-Mwimbi-Kizombwe-Matai km 100
  • Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga
  • Miradi wa Barabara za mitaa chini ya Tactic km 13
  • Mbeya Road -Kaengesa Seminary km 21
  • Ujenzi wa Chuo Kipya na Kikubwa Cha Ualimu Sumbawanga
  • Mradi wa Msongo mkubwa wa Umeme kuunganisha Rukwa na Grid ya Taifa wa KV 400(TAZA) kutoka Mbeya-Tunduma-Sumbawanga na Substation kubwa Sumbawanga
  • Ujenzi wa Hospital Mpya ya Rufaa ya Mkoa
  • Mtadi mkubwa wa Utafiti wa Gas ya Helium(Zaidi ya Bil.400) Blonde la Ziwa Rukwa.
  • Usanifu wa Barabara za Kalambanzite-Ilemba,Lyazumbi-Kabwe na Namanyere -Kipili Port/Kirando, Muze-Kasansa-Majimoto kwa Ajili ya kujengwa kwa lami unaendelea.
  • Ujenzi wa jengo la Ofisi ya DC Nkasi
  • Ujenzi wa Jengo la Mwendesha Mashaka Mkoa
  • Ujenzi wa Daraja Kubwa Mto Kalambo
Miradi ambayo tayari amekwisha ikamilisha ni ifuatayo;
-Ujenzi wa Chuo Cha Veta Mkoa
-Ujenzi wa Hospital za Wilaya za Nkasi, Sumbawanga Manispaa,Kalambo,Nkasi na Sumbawanga Vijijini
-Ujenzi wa barabara ya Sumbawanga -Kasanga Port
-Ujenzi wa Bandari za Kasanga na Kabwe
-Ujenzi wa Majengo ya Utawala Kalambo na Sumbawanga DC


View: https://twitter.com/TanzaniaInvest/status/1718914342991642747?t=HRAFLbvPU5kGuKr_ISgqOw&s=19

Miradi hii ikikamilika itabadili kabisa taswira ya Mkoa wa Rukwa kutoka kuwa miongoni mwa Mikoa 10 Maskini Tanzania hadi kuwa mchangiani mkubwa kwenye Pato la Taifa.


View: https://youtu.be/bDknjIB-ar4?si=KbozRCob5RaJj5cC

Kalambo Bridge progress

View: https://youtu.be/WifNsR2OgjM?si=LZzdCM3WKPI0nUVh
 
Naendelea na mada zangu za Mkoa kwa Mkoa kuwahabarisha miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali ya mama mikoani.

Baada ya Kigoma na Mbeya sasa ni zamu ya Mkoa wa Rukwa.

Rukwa haijaachwa nyuma na upendo wa mama kwenye nyanja mbalimbali za kimaendeleo.

Hii ni baadhi ya miradi mikubwa inayoendelea na utekelezwaji Mkoani Rukwa ambayo italeta Mageuzi ya Uchumi wa watu wa Rukwa.
  • Ujenzi wa barabara ya Ntendo-Muze-Ilemba-Kaoze-Kilyamatundu/Kamsamba 200km
  • Ujenzi wa barabara ya Matai-Kasesya km 50 (Tanzania/Zambia Border)
  • Ujenzi wa barabara ya Laela-Mwimbi-Kizombwe-Matai km 100
  • Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga
  • Miradi wa Barabara za mitaa chini ya Tactic km 13
  • Mbeya Road -Kaengesa Seminary km 21
  • Ujenzi wa Chuo Kipya na Kikubwa Cha Ualimu Sumbawanga
  • Mradi wa Msongo mkubwa wa Umeme kuunganisha Rukwa na Grid ya Taifa wa KV 400(TAZA) kutoka Mbeya-Tunduma-Sumbawanga na Substation kubwa Sumbawanga
  • Ujenzi wa Hospital Mpya ya Rufaa ya Mkoa
  • Mradi mkubwa wa Utafiti wa Gas ya Helium(Zaidi ya Bil.400) Blonde la Ziwa Rukwa.
  • Usanifu wa Barabara za Kalambanzite-Ilemba,Lyazumbi-Kabwe na Namanyere -Kipili Port/Kirando, Muze-Kasansa-Majimoto kwa Ajili ya kujengwa kwa lami unaendelea.
  • Ujenzi wa jengo la Ofisi ya DC Nkasi
  • Ujenzi wa Jengo la Mwendesha Mashaka Mkoa
  • Ujenzi wa Daraja Kubwa Mto Kalambo
  • Ujenzi wa eneo la viwanda vidogo(Industrial Park)
  • Ujenzi wa Skimu ya Umwagiliaji Ilembela= 21 bln
  • Upanuzi wa Bandari ya Kasanga awamu ya 11
Miradi ambayo tayari amekwisha ikamilisha ni ifuatayo;
-Ujenzi wa Chuo Cha Veta Mkoa
-Ujenzi wa Hospital za Wilaya za Nkasi, Sumbawanga Manispaa,Kalambo,Nkasi na Sumbawanga Vijijini
-Ujenzi wa barabara ya Sumbawanga -Kasanga Port
-Ujenzi wa Bandari za Kasanga na Kabwe
-Ujenzi wa Majengo ya Utawala Kalambo na Sumbawanga DC


View: https://twitter.com/TanzaniaInvest/status/1718914342991642747?t=HRAFLbvPU5kGuKr_ISgqOw&s=19

Miradi hii ikikamilika itabadili kabisa taswira ya Mkoa wa Rukwa kutoka kuwa miongoni mwa Mikoa 10 Maskini Tanzania hadi kuwa mchangiani mkubwa kwenye Pato la Taifa.


View: https://youtu.be/bDknjIB-ar4?si=KbozRCob5RaJj5cC

Mradi wa Maji wa Ziwa Tanganyika Mbioni kupata pesa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C4gQcUCqx9O/?igsh=MTM5YmVkM29nZXI4cQ==
 
Back
Top Bottom