kapuyanga mkware
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 589
- 144
Lowasa atatufaa lwani ana maamuzi. tumechoka na viongozi wasio na maamuzi
mh!!!hv kumbe una wivu hivyo kama mama yako!
ama kweli mi mgeni! naenda ila nitarudi mjinikumbe?
Rais wa 1-Kanda ya Ziwa-Nyerere
Rais wa 2-Zanzibar-Mwinyi
Rais wa 3-Kusini -Mkapa
Rais wa 4-Pwani-Kkiwete
Rais wa 5-Kaskazini-LOWASA
upo
mkuu nimeona jina linafanana kama la kwako kwenye orodha ya mawaziri watarajiwa..... hivi unaitwa Pasco, Paskali au paschal????????????????Mkuu Gagi, laiti ungalijua!.
Pasco
we paskali wewe..............:welcome:No comparison, no contrast, relationship iliyopo ni kati ya Liongo na Pascal Mayalla ambayo hata mimi naijua, na sio sio mimi Pasco wa jf!. (kumbuka sheria zetu!)
Ila pia kwa vile naijua, naweza kuwaambia!.
Paskali na Abou ni ndugu!, walisoma darasa moja TSJ, wakaishi shared room moja, wakashare mambo mengi ya ujana, kiasi kwamba room yao hata hawakuhitaji "exile"!. Wakaja kuajiriwa siku moja RTD, wakaanza kazi pamoja, by that time kila mmoja akikaa kwa wazazi wake!. Wakatambulishana kwa wazazi, Wakaanza maisha ya kujitegemea pamoja, wakaishi nyumba moja a 2 bedroom flat pale Shariif Shamba Ilala huku wakishare sebule na jiko. Wakaoa pamoja, na wote kuishi na wake zao nyumba moja mpaka watoto walipo zaliwa ile 2-bedroom flat haikutosha, ndipo mmoja akahama na kumwachia mwenzake!.
1995 wote wakatimka RTD, mmoja akaenda ITV, mwingine DTV.
Pasco.
mkuu nimeona jina linafanana kama la kwako kwenye orodha ya mawaziri watarajiwa..... hivi unaitwa Pasco, Paskali au paschal????????????????
Mkuu ujinga, acha ujinga!, hilo jina litakuwa ni ni kama!.mkuu nimeona jina linafanana kama la kwako kwenye orodha ya mawaziri watarajiwa..... hivi unaitwa Pasco, Paskali au paschal????????????????
They just sound the same but are not the same!.Kaka; Pasco,Paskali, Paschal..! They all sound the same I gues! Kuna cha kujitetea hapa?
Rais wa 5-Kaskazini-DR.SLAA
Mkuu ujinga, acha ujinga!, hilo jina litakuwa ni ni kama!.
Kaka; Pasco,Paskali, Paschal..! They all sound the same I gues! Kuna cha kujitetea hapa?
Bado kanda ya juu kusini,
kanda ya kati,
kanda ya magharibi,
kanda ya mashariki kisha ndo watamaliza na kanda ya Kaskazini.
kumbe?
Rais wa 1-Kanda ya Ziwa-Nyerere
Rais wa 2-Zanzibar-Mwinyi
Rais wa 3-Kusini -Mkapa
Rais wa 4-Pwani-Kkiwete
Rais wa 5-Kaskazini-LOWASA
upo