Mipango ya 2015 Timu ya Lowassa yateua msemaji!

Mipango ya 2015 Timu ya Lowassa yateua msemaji!

Kuanzia sasa mtu yeyeote anayetaka kuuliza chochote Rais Mtarajiwa Mh.Edward Lowassa anatakiwa kuuumiliza Bw Abubakar Liongo ambaye ameteuliwa rasmi kuwa msemaji wa Lowasa.

Lowasa kuanzia sasa hatakuwa na muda wa kujibu maswali ya waandishi wa habari bali jamabo lolote kuhusu Lowasa aulizwe Liongo!

Anyetaka mawasiliano yake ani-PM nimpatie.

Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzake.

Njia ya ikulu nyeupe kwa Lowassa!

Twenzetu!

Hatuhitaji mawasiliano yoyote na mwizi wa mali za umma.waambie mafisadi na majangili wenzie waku PM.njaa inakufanya uwehuke kijana na kufanya mambo ya kijinga kijinga ya kutetea wezi.
 
hiyo mijadala tulishaimaliza sasa tunajadili namna ya kuongoza serikali chini ya LOWASA.labda niulize hayo,ya nani atakuwa rais hayo hatujadili tena kwani anajulikana

Atakuwa rais wa AKUDO IMPACT
 
Lowasa hawezi kuwa na cheap plan kama hizo ni nan asiye na namba za liongo acheni wehu team membe a.k.a joka la mdmu naskia msemaji wa membe ni dk.kgwgwala....mnachofkria 2013 lowasa alkfkria 2000 lowasa plan zake znawaza 2020 yeye hana muda wa kulialia kwenye media kama kna membe....pande wa pili vp zto naona kawashka pabaya.....2015 ma presdent is lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...mstafte ela jdanganyen na kulalamika et kodi zenu mnajua vodacoma kwa sku anaingza kiasi gan nyie msfanye kazi subrn mliwe
 
Rais wetu lazima awe na sifa za kizalendo huyo si mwingine bali ni Stephen Masato Wassira.
 
Hata kadi za mialiko ya kuapishwa rais mpya 2015 zimekwisha-printiwa!

Tuma maombi nikupe moja

Hizo kadi ni za ushindi wa urais upi? Wa shirikisho la jamhuri ya muungano wa tanzania au urais wa tanganyika? Hebu tuweke sawa katika hili maana hawezi kugombea kote na katiba mpya inaanza april 26 mwakani
 
Lowasa hawezi kuwa na cheap plan kama hizo ni nan asiye na namba za liongo acheni wehu team membe a.k.a joka la mdmu naskia msemaji wa membe ni dk.kgwgwala....mnachofkria 2013 lowasa alkfkria 2000 lowasa plan zake znawaza 2020 yeye hana muda wa kulialia kwenye media kama kna membe....pande wa pili vp zto naona kawashka pabaya.....2015 ma presdent is lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...mstafte ela jdanganyen na kulalamika et kodi zenu mnajua vodacoma kwa sku anaingza kiasi gan nyie msfanye kazi subrn mliwe

Naomba kujua. Lowasa anataka urais wa tanganyika au wa shirikisho la tanzania au hata nyie wapambe hamjui bado?
 
Kanda ya Kati: Prof. Juma Kapuya

Wameshamwahi!
Na staili hii ya kuwaondoa mapema ni nzuri kweli kweli na haina gharama !
Yaani hapa kilichobaki ni kuendelea kuviziana tu!
Mpaka tunafika 2015 majeruhi kibao na sijui kama kututakuwa na mfungaji tena!
 
kumbe?

Rais wa 1-Kanda ya Ziwa-Nyerere
Rais wa 2-Zanzibar-Mwinyi
Rais wa 3-Kusini -Mkapa
Rais wa 4-Pwani-Kkiwete
Rais wa 5-Kaskazini-LOWASA
upo


Bado kanda ya juu kusini,
kanda ya kati,
kanda ya magharibi,
kanda ya mashariki kisha ndo watamaliza na kanda ya Kaskazini.

 
hiyo mijadala tulishaimaliza sasa tunajadili namna ya kuongoza serikali chini ya LOWASA.labda niulize hayo,ya nani atakuwa rais hayo hatujadili tena kwani anajulikana

Ina maana watanzania wote waliopo hawana uwezo wa kuongoza nchi mpaka wamchaguwe Lowassa kuwa Rais wao?.
 
Kuanzia sasa mtu yeyeote anayetaka kuuliza chochote Rais Mtarajiwa Mh.Edward Lowassa anatakiwa kuuumiliza Bw Abubakar Liongo ambaye ameteuliwa rasmi kuwa msemaji wa Lowasa.

Lowasa kuanzia sasa hatakuwa na muda wa kujibu maswali ya waandishi wa habari bali jamabo lolote kuhusu Lowasa aulizwe Liongo!

Anyetaka mawasiliano yake ani-PM nimpatie.

Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzake.

Njia ya ikulu nyeupe kwa Lowassa!

Twenzetu!

Nilidhani huyo msemaji ni Mwigulu Nchemba....Hebu tupe majukumu ya Nchemba nasikia yupo karibu na Mamvi..
 
Tisheti na kanga bado hajachapisha.?
 
kapuya atakua wazir mkuu kwenye serikali hii au???

Hapo kwenye rangi ya magamba pigia mstari.

Alhaji. Prof. Mbakaji. Papa. Juma Athman Kapuya Mzee wa Akudo Impact ndo Waziri mkuu wa serikali hewa ya Mzee wa Mamvi.......... Duh! Wadogo zetu wa kike na mademu zetu mpaka utawala umelize muda wake watakuwa hawana bikra lakini pia watakuwa wameunganishiwa MIWAYA...
 
Kuanzia sasa mtu yeyeote anayetaka kuuliza chochote Rais Mtarajiwa Mh.Edward Lowassa anatakiwa kuuumiliza Bw Abubakar Liongo ambaye ameteuliwa rasmi kuwa msemaji wa Lowasa.

Lowasa kuanzia sasa hatakuwa na muda wa kujibu maswali ya waandishi wa habari bali jamabo lolote kuhusu Lowasa aulizwe Liongo!

Anyetaka mawasiliano yake ani-PM nimpatie.

Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzake.

Njia ya ikulu nyeupe kwa Lowassa!

Twenzetu!
Huyu jamaaa ni mnafiki mkubwa tu atueleze haya alihusika vipi akiwa kiongozi kama waziri mkuuu
1.ajibu kuwa hana account katika kisiwa cha Jersey uswisi kwa kueleza haya atoe majina ya wenzake walioweka hela huko bila kuficha
2.richmond nini ? aeleze na alikuwa anahusika vipi mpaka watu wanamuita fisadi wakati ndio anagombea urais
3. Hela anazotoa misaada kwenye mikutano ya kuchangia ujenzi wa makanisa anatoa wapi wakati watanzania wanalala njaaa kila siku na yeye anahela mbaya
4.alijiuzuru au alifukuzwa na kama alijiuzuru kwa kashifa gani na kwa nini analipwa hela ya kuwa waziri mkuu na anataka kuwa rais wakati ni tajiri wa kufa mtu anatafuta nini akipata uraisi wananchi kama sisi tunaweza kuuzwa kama watumwa ili apate hela kwa sababu anapenda hela sana
Mkikutana naye muulizeni haya maswali sisi tuliopo kijijini haji na hawezi kuja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom