Mipango ya 2015 Timu ya Lowassa yateua msemaji!

Mipango ya 2015 Timu ya Lowassa yateua msemaji!

No comparison, no contrast, relationship iliyopo ni kati ya Liongo na Pascal Mayalla ambayo hata mimi naijua, na sio sio mimi Pasco wa jf!. (kumbuka sheria zetu!)

Ila pia kwa vile naijua, naweza kuwaambia!.

Paskali na Abou ni ndugu!, walisoma darasa moja TSJ, wakaishi shared room moja, wakashare mambo mengi ya ujana, kiasi kwamba room yao hata hawakuhitaji "exile"!. Wakaja kuajiriwa siku moja RTD, wakaanza kazi pamoja, by that time kila mmoja akikaa kwa wazazi wake!. Wakatambulishana kwa wazazi, Wakaanza maisha ya kujitegemea pamoja, wakaishi nyumba moja a 2 bedroom flat pale Shariif Shamba Ilala huku wakishare sebule na jiko. Wakaoa pamoja, na wote kuishi na wake zao nyumba moja mpaka watoto walipo zaliwa ile 2-bedroom flat haikutosha, ndipo mmoja akahama na kumwachia mwenzake!.

1995 wote wakatimka RTD, mmoja akaenda ITV, mwingine DTV.

Pasco.

inakuweje unajua yote haya kama sio wewe
 
Mtanange wa kumpata mgombea urais ndani ya CCM una msisimko kuliko hata kumtafuta Rais wa Jamhuri hii ya Tz,hapa ndio nitashuhudia mwisho wa CCM......Mola tujalie uzima na afya.
 
Mwinyi kwao ni Mkuranga.........!!!

Zanzibar hawajawahi kutoa Rais.

We weweee Nyamaza kabisa msitufanye hatujuhi. Mambo ya wizara ya Muungano kutuwekeea waziri Mzanzibari msifikiri sisi wajinga.

Mwinyi Junior ni Mbunge wa wapi vile? Malima Je?
 
Nasikia Ana mpango wa kwenda wilaya ya kisarawe ktk harambee mwalimu nyerere alimkataa Huyu Mtu sisi kwaNjaa zetu tunamkumbatia
 
hiyo mijadala tulishaimaliza sasa tunajadili namna ya kuongoza serikali chini ya LOWASA.labda niulize hayo,ya nani atakuwa rais hayo hatujadili tena kwani anajulikana
Bado mna mpango wa kumteua Kapuya kuwa Waziri Mkuu wenu? Aaaaah sorry umesoma msemaji ni Liongo
 
Kuanzia sasa mtu yeyeote anayetaka kuuliza chochote Rais Mtarajiwa Mh.Edward Lowassa anatakiwa kuuumiliza Bw Abubakar Liongo ambaye ameteuliwa rasmi kuwa msemaji wa Lowasa.

Lowasa kuanzia sasa hatakuwa na muda wa kujibu maswali ya waandishi wa habari bali jamabo lolote kuhusu Lowasa aulizwe Liongo

Anyetaka mawasiliano yake ani-PM nimpatie.

Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzake.

Njia ya ikulu nyeupe kwa Lowassa!

Twenzetu!

umerogwa wewe na aliyekuroga ameshafariki.
 
Hivi sasa habari ya mjini ni namna ya kuunda serikali si siasa za maji taka!
We uliza labda serikali iweje nk? haya ya mambo ya sijui picha za LEMA ni feki au halisi,sijui zito anagombana na Slaa hazina mashiko kwa sasa ,issue ni Je Serikali ya LOWASA itakuwa na idadi kiasi gani ya mawaziri nk!

Kabla hayajajibiwa maswala hayo ya kimaadili hayo mengine hayamhusu lowasa maana tunaandika katiba mpya idadi ya mawaziri na ukubwa wa serikali hayatakuwa maamuzi ya rais tena.. Kwahiyo mawazo ya kijima ondoa.. Huyo fisadi wenu hauziki kwa watanzania.. akafanya biashara na swahiba wake Rostam..
 
Wasemaji wengine wa Lowassa ni, balile, manyerere, beatrice, basha, pinto, mbonea . . . . .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom