Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,547
- 88,538
Mbona tukiwaachia mahousegirl hizo kazi huwa mnalalamika?
Si mnafanya na hausigeli
Si mnafanya na hausigeli
Anayelalamika hakufai Marianah , zama hizi za baba kazini na mama kazini, inabidi muwe na hausigeli.Mbona tukiwaachia mahousegirl hizo kazi huwa mnalalamika?
Right to own vs right to use[emoji4][emoji4]Kama kiwanja kinamilikiwa na mwanamke, nyumba itakayojengwa bado mwenye haki ya nyumba ni mwanamke.
Hapo ni sawa na kujenga ukweni.
Ndiyo. Naomba tujenge kwenye kiwanja changu eehRight to own vs right to use[emoji4][emoji4]
Nyinyi huwa mnagive kweli au mnatake tu ?Mwambie amuambie tu ukweli kuwa hiyo tabia ya mtoto wa kiume kuwa kupe inakera, either way hawezi muambia kisa yupo desperate na ndoa then ajiandae tu kisaikolojia kuiendesha hiyo familia akisimamia nafasi zote za Baba na Mama.
Na akimuambia halafu mabadiliko ni sifuri achague tu moja iwe kusuka ama kunyoa,
Relationship is all about 'give' and 'take' not 'take, take, take and take..!!
We give, more than we receive sometimes..!!Nyinyi huwa mnagive kweli au mnatake tu ?
Dinner tu imelalamikiwa hivi kuna ndoa hapa kweli ?
Sina hiyana... Tutakuwa jointly [emoji4]Ndiyo. Naomba tujenge kwenye kiwanja changu eeh
Fanya yako, acha kufuatilia maisha ya watuHabari zenu wanajamvi, nina rafiki yangu ana boyfrend wake, hawajafika stage yyte ya ndoa ndio wana mpango wa kutambulishana hivi karibuni ila kinachomtatiza bi dada ni mipango ya huyu kijana, ameng'ang'ania wajenge nyumba yao katika kiwanja kinachomilikiwa na bi dada.
Sasa kinachomtatiza bi dada mbona kung'ang'ania kujenga ktk kiwnja chake?
Kujenga ni jukumu la mwanaume, mbona bwana huyu ana ng'ang'ania wajenge wote?
Huyu Kijana kutwa kucha kwenda kula dinner kwa bi dada na hachangii chochote hata wakienda shoping hatoi hata sh10 kuchangia.
Kijana ana gari yake, ila kutwa kucha anapenda kuendesha gari ya bi dada kisa ni nzuri na hachangii hata mafuta.
Wenye experience nahii naombeni maoni yenu.
Aigooooh!!!Ashachelewa na kokotoo nishamwaga.