MIPANGO NA MUME MTARAJIWA

MIPANGO NA MUME MTARAJIWA

Wadada sio kila mwanaume unaejiingiza nae katika mahusiano ni sahihi kwako kuweni makini wanaume wengine tupo tuna tabia za kina CPRIAN MSIBA
 
Hamna kitu hapo, hata huo mkwara wa kujenga nyumba, ni majasho tu hana kitu hapo,... Anashindwa kuonyesha kiwanja, hana... Anajua akisema hivyo hatoruhusiwa, hapo ndipo anapochukulia ushindi wa kula na kudrive bure... Hilo ni tapeli tu
 
Mwambie amuambie tu ukweli kuwa hiyo tabia ya mtoto wa kiume kuwa kupe inakera, either way hawezi muambia kisa yupo desperate na ndoa then ajiandae tu kisaikolojia kuiendesha hiyo familia akisimamia nafasi zote za Baba na Mama.

Na akimuambia halafu mabadiliko ni sifuri achague tu moja iwe kusuka ama kunyoa,
Relationship is all about 'give' and 'take' not 'take, take, take and take..!!
Nyinyi huwa mnagive kweli au mnatake tu ?
Dinner tu imelalamikiwa hivi kuna ndoa hapa kweli ?
 
Habari zenu wanajamvi, nina rafiki yangu ana boyfrend wake, hawajafika stage yyte ya ndoa ndio wana mpango wa kutambulishana hivi karibuni ila kinachomtatiza bi dada ni mipango ya huyu kijana, ameng'ang'ania wajenge nyumba yao katika kiwanja kinachomilikiwa na bi dada.

Sasa kinachomtatiza bi dada mbona kung'ang'ania kujenga ktk kiwnja chake?

Kujenga ni jukumu la mwanaume, mbona bwana huyu ana ng'ang'ania wajenge wote?

Huyu Kijana kutwa kucha kwenda kula dinner kwa bi dada na hachangii chochote hata wakienda shoping hatoi hata sh10 kuchangia.

Kijana ana gari yake, ila kutwa kucha anapenda kuendesha gari ya bi dada kisa ni nzuri na hachangii hata mafuta.

Wenye experience nahii naombeni maoni yenu.
Fanya yako, acha kufuatilia maisha ya watu
 
Mwambie rafiki yako aachane na huyo Mwanaume mpenda Kitonga, Mwanaume anatakiwa kuwajibika na kutimiza majumu yake.
 
Endeleeni kufuga majini.... Huyo mwanaume ni jini aiseeee mabinti sijui tunakwama wapi
 
Back
Top Bottom