baunsa wa kike
Member
- Jul 25, 2014
- 83
- 36
Habari zenu wanajamvi, nina rafiki yangu ana boyfrend wake, hawajafika stage yyte ya ndoa ndio wana mpango wa kutambulishana hivi karibuni ila kinachomtatiza bi dada ni mipango ya huyu kijana, ameng'ang'ania wajenge nyumba yao katika kiwanja kinachomilikiwa na bi dada.
Sasa kinachomtatiza bi dada mbona kung'ang'ania kujenga ktk kiwnja chake?
Kujenga ni jukumu la mwanaume, mbona bwana huyu ana ng'ang'ania wajenge wote?
Huyu Kijana kutwa kucha kwenda kula dinner kwa bi dada na hachangii chochote hata wakienda shoping hatoi hata sh10 kuchangia.
Kijana ana gari yake, ila kutwa kucha anapenda kuendesha gari ya bi dada kisa ni nzuri na hachangii hata mafuta.
Wenye experience nahii naombeni maoni yenu.
Sasa kinachomtatiza bi dada mbona kung'ang'ania kujenga ktk kiwnja chake?
Kujenga ni jukumu la mwanaume, mbona bwana huyu ana ng'ang'ania wajenge wote?
Huyu Kijana kutwa kucha kwenda kula dinner kwa bi dada na hachangii chochote hata wakienda shoping hatoi hata sh10 kuchangia.
Kijana ana gari yake, ila kutwa kucha anapenda kuendesha gari ya bi dada kisa ni nzuri na hachangii hata mafuta.
Wenye experience nahii naombeni maoni yenu.