chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Kiukweli watanzania wanamitaji midogo ya kupata sehemu za kujiegesha kwa ajili ya biashara zao.
Lakini wenye nyumba hawa tengenezi aina mifumo ambayo hata yule kijana au yoyote anayetaka kufanya biashara basi hata kuwa na sehemu ambayo ni elekezi na bei nzuri.
Kwa Dar es Salaam naona wanajitaidi kama kujenga masoko makubwa.ila bado ijatosheleza.
Sasa kila sehemu lenye mvuto wa biashara, mamlaka kuelekeza lazima ujenge vyumba vya kupangisha ili watu kufanya biashara.
Lakini wenye nyumba hawa tengenezi aina mifumo ambayo hata yule kijana au yoyote anayetaka kufanya biashara basi hata kuwa na sehemu ambayo ni elekezi na bei nzuri.
Kwa Dar es Salaam naona wanajitaidi kama kujenga masoko makubwa.ila bado ijatosheleza.
Sasa kila sehemu lenye mvuto wa biashara, mamlaka kuelekeza lazima ujenge vyumba vya kupangisha ili watu kufanya biashara.