Burn the bridge _Tz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 2,234
- 6,583
Hahahaha kkkmmkeBongo dole bado lipo sana tu!
Hahahaha kkkmmkeBongo dole bado lipo sana tu!
Hakuna kisababishi cha moja kwa moja, as long as ni mwanaume, risk ya kudevelop hiyo saratani ipo. Sababu kubwa ni uwepo wa homoni ya testosterone kwa mwanaume.Saratani ya Tezi dume inasababishwa na nini?
Na njia gani za kuepuka ugonjwa huu wa gharama?
Ni hatari tuombe sana Mungu atuepushe na janga hiliHakuna kisababishi cha moja kwa moja, as long as ni mwanaume, risk ya kudevelop hiyo saratani ipo. Sababu kubwa ni uwepo wa homoni ya testosterone kwa mwanaume.
Kuna vitu ambavyo vimekuwa termed as risk factors, mfano
1. Historia ya aina hiyo ya saratani ama saratani ya matiti kwenye familia 2. Unene 3. Maambukizi katika tezi ya muda mrefu (Chronic prostatis)
Ni muhimu kuanza kujichunguza mapema hususani mwanaume akifikisha miaka 45
Yalikuwepo, ufahamu ulikuwa chini. Zamani fikra zilikuwa ni ugonjwa wa zinaa kitu ambacho sio kweli.Ni hatari tuombe sana Mungu atuepushe na janga hili
Je magonjwa haya miaka ya 90 yalikuwepo au ni hivi sasa?
Ni hatari sana ila nimegoogle nimekutana na sababu mbalimbali kamaYalikuwepo, ufahamu ulikuwa chini. Zamani fikra zilikuwa ni ugonjwa wa zinaa kitu ambacho sio kweli.
Mwanaume 1 kati ya 8 wanaweza kutwa na saratani hii katika maisha yao hususani kuanzia miaka 50.
Ugonjwa haubagui. Sie tumeitumia na ni WatindigaHiyo miongozo ina apply hata huku third world country?