Mwacheni Mwl. Balozi Bashiru amalize kwanza majonzi ya msiba wa kipenzi chake. Bado anamachungu. Kidonda hakijapona.
WoteHivi adui wa chadema ni Magufuli, Polepole na Bashiru au ccm?
Mzee wa vieitte sasa yupo viti maalum!!
Ngoja wanyooshwe.
Hata yeye tayari kiburi kimepungua kidogo. Alikuwa as najifanya anajua kila kitu kuliko wengine. Sasa yuko kimya, labda anasoma upepo. Kitendo cha mama kudai Waziri wa Mambo ya nje amemcjagua kwenda kurekebisha mambo huko nje kimemzalilisha sana Kabudi maana alifikiri alikuwa anafanya kazi nzuri Kumbe walikuwa wanamchora tu.Hivi Kalamagamba Kabugi ana hali gani?
Magufuli kafa, Bashiru si katibu mkuu tena, Pole pole pia ametoka kwenye nafasi yake.Wewe wasema hawa ndio walikuwa adui No.1 wa CDM.Rejea:Maovu waliyowatendea CDM na watu wake!
Ananyooshwaje?Mzee wa vieitte sasa yupo viti maalum!!
Ngoja wanyooshwe.
Kwahiyo Lisu ndio mmemdampo kihivo?Mama asimwache mtu kwenye hili genge.
Hili ni la kufutilia mbali na kujisafishia mitano mingine.
Huu ni muda wa Tanzania mpya yenye misingi ya haki, uhuru na katiba muafaka.
Tanzania itakayo tufanya tuachane hata na anonymity bali tu comment na ku like kwa majina yetu.
Hiiiiii bagosha!
Najaribu kuwaza Bashiru na Polepole wanaoshwa vipi sipati jibuMuosha huoshwa
Leo wanapata kunywa siki iliyokwiva vyema
Sasa mbona Bashiru na Pole pole wanashambuliwa na chadema wanafurahia sana kuondoka kwao kama vile sasa mambo ni safi?
Kwa sababu wewe ni mpumbavu huwezi kuona uhusiano wa hii mada na chademaWewe nawe umezidi kukariri hadi unatia kinyaa.Chadema inahusika vipi hapa.
Shetani kafa. Vipi sasa mambo ni super ama siyo?Magufuli ni sawa na shetani +
Mbona mnademka kuisifia ccm sasa?Wote
Ushauri mbaya Sana huu.Ndiyo maana tunampa maujanja (ushauri):
"Kubwaga manyanga au/na kuanzisha chama cha siasa kuendeleza mapambano aliyoyasimia."
Hayuko peke yake bali na kundi zima linalo nasibiwa na kabila lile bila kumwacha mmoja wao yeyote nje.
Ni ushauri wa nia njema tu mkuu, yeye na wenzao wote kama binadamu.
Hao ndio waliokanyaga katiba ya nchi. Bado JafforHivi adui wa chadema ni Magufuli, Polepole na Bashiru au ccm?
Sisi tumefurahi tu Magufuli kufa. Hakika ni raha iliyojeMagufuli kafa, Bashiru si katibu mkuu tena, Pole pole pia ametoka kwenye nafasi yake.
Je, matatizo yameisha sasa?
Ushauri mbaya Sana huu.
Mwache avute mpunga tu pale mjengoni
Wivu tu....kwani kuserereka namna hiyo alikuwa anajiteua?kuna watu walikuwa wanaserereka tu utafikiri wamepanda treni ya mwendokasi, leo katibu mkuu wa chama, kesho katibu mkuu kiongozi utafikiri nchi ilikuwa mali yao binafsi..