pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,035
- 15,242
Wakuu mimi kwangu kuna mnara wa kampuni iliyokuwa inaitwa Sasatel, hii kampuni kwa sasa haipo na mnara umebaki kama pambo. Juhudi za kuwatafuta ili nijue nifanyeje ili eneo langu nitumie kwa matumizi mengine siwapati na ofisi zao hazipo tena. Kibaya zaidi tangu 2005 nawadai! Naombeni ushauri wenu kwa wanaojua.