Mimi yanga damu ila ukwel mchungu

Mimi yanga damu ila ukwel mchungu

Carasco Putin

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2022
Posts
12,484
Reaction score
35,637
(1)SIMBA INAKWENDA MISRI

(2)TAIFA STARS INAKWENDA 🇲🇦 MOROCCO

Yanga anaenda Singida.


IMG-20250324-WA0031.jpg
 
(1)SIMBA INAKWENDA MISRI

(2)TAIFA STARS INAKWENDA 🇲🇦 MOROCCO

Yanga anaenda Singida.


View attachment 3281663
mimi simba lkn ukweli mchungu,simba anaenda misri kukamilisha ratiba ya robo fainali kama kawaida yake,taifa stars anaenda morocco kula kono la nyani,yanga anaenda singida kula bata

ya nini kujitesa na hiyo mizunguko ya misri na morocco kuwatia watu hasara si bora hiyo hela serikali ingejenga zahanati na Mo angelia bata kama yanga
 
Simba anaenda Misri katika mashindano ambayo Yanga ilicheza fainali na kushindwa kubeba kombe kwa sheria ya goli la ugenini baada ya mechi kuisha kwa aggregate ya 2-2
 
mimi simba lkn ukweli mchungu,simba anaenda misri kukamilisha ratiba ya robo fainali kama kawaida yake,taifa stars anaenda morocco kula kono la nyani,yanga anaenda singida kula bata

ya nini kujitesa na hiyo mizunguko ya misri na morocco kuwatia watu hasara si bora hiyo hela serikali ingejenga zahanati na Mo angelia bata kama yanga
Yaani utoke dar uende kula bata singida? ULISKIA WAPI?
 
Mimi ni shabiki wa Simba! Ila kusema ule ukweli, naipongeza sana timu yangu kwa kuweka mpira kwapani ile tarehe 8! Maana tungejiroga tu kuingia uwanjani ile siku, tulikuwa tunapigwa tena ✋
Na hata huko Misri kwenyewe nako tungeenda kupigwa 7! Yaani wiki.

Yule Aziz Kii na wenzake huwa wanatukamia sana wanapocheza na sisi.
 
mimi simba lkn ukweli mchungu,simba anaenda misri kukamilisha ratiba ya robo fainali kama kawaida yake,taifa stars anaenda morocco kula kono la nyani,yanga anaenda singida kula bata

ya nini kujitesa na hiyo mizunguko ya misri na morocco kuwatia watu hasara si bora hiyo hela serikali ingejenga zahanati na Mo angelia bata kama yanga
Umeongea kiutopolo alaf unasema ww ni Simba...
 
Simba anaenda Misri katika mashindano ambayo Yanga ilicheza fainali na kushindwa kubeba kombe kwa sheria ya goli la ugenini baada ya mechi kuisha kwa aggregate ya 2-2
Kwa hiyo unapinganq na Sheria?
Nendeni veta jamani acheni kutusumbua huku mitaani.
 
Simba anaenda Misri katika mashindano ambayo Yanga ilicheza fainali na kushindwa kubeba kombe kwa sheria ya goli la ugenini baada ya mechi kuisha kwa aggregate ya 2-2
Yanga alicheza hayo mashindano baada ya kutolewa Klabu Bingwa na robo fainali na vibonde Rivers United na nusu fainali alichezesha na kibonde mwingine Marumo Galaxy iliyoshuka daraja
 
Simba anaenda Misri katika mashindano ambayo Yanga ilicheza fainali na kushindwa kubeba kombe kwa sheria ya goli la ugenini baada ya mechi kuisha kwa aggregate ya 2-2

Hayo tunayajua, hapo la muhimu ni kushindwa kubeba Kombe....! Yanga ilishindwa kubeba Kombe.

Mnyama anaenda kubeba Kombe....!

Tz hii ni marufuku Yanga kutangulia kuweka Rekodi yoyote. Lzm Simba ianze hlf Yanga ndo iwe ina struggle kuifikia rekodi...!
 
Yaani utoke dar uende kula bata singida? ULISKIA WAPI?
Singida kuna kuku og,siyo ile midoli yenu isiyoweza kutembea wala kuruka,mafuta alizeti og siyo transfoma,madem nyuso zina nuru hazina makorongo ya mkorogo wala kujazwa putty, mchele og siyo wa plastic uso ladha unadunda kama tenesi
 
Back
Top Bottom