Mimi tu, mimi pekeyangu nimebaki

Mimi tu, mimi pekeyangu nimebaki

Aisee!
Ingekuwa enzi zangu.......siku hizi najiimbia 'nguruwe pita sina mshale'....uzee bana.
 
Poleni kwa mihangaiko ya siku ya leo wana CC...

Mwenzenu marafiki zangu sijui waliambizana???

Yaan marafiki zangu wapatao saba (7) ni wajawazito, ngoja niwataje kihivi...

1. Da' KJ
2. Da' FR
3. Da' NR
4. Da' NK
5. Da' KC
6. Da' BM
7. Da' RA

Mimi peke yangu nimebaki, mimi
tu, kukuleteeni habari!!!!

mi nilifikiri root za ndege

inabidi mkamwone MziziMkavu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom