Nasema hivi, imetokea sijui ni kwa bahati mbaya au nzuuri...
Marafiki zangu wapatao 7 wana mimba...
Hapo umeelewa au bado???
me sijailewa post yako Jr
kitambi mzigo... endelea tu kusubiri subiri mwanangu.
Shem itabidi tutete chemba...mwanao anayo tayari ujue
Nin kinakusababisha ushtuke?
Iko wapi @stoveh??? yaan natamani hata nikaibe mume wa mmoja anipemo kamimba, make shemeji yenu naona vimebuma!
Humu ndani kuna raha...
mmmmmmmmmmnnnnhhhhhhUnajifanya hujui?
mmmmmmmmmmnnnnhhhhhh
Mwanawasu charminglady wataka mimba/mtoto, hapa sijui mimi nisemeje?.
well noted!
kitambi mzigo... endelea tu kusubiri subiri mwanangu.
hahahahaa...pole wee!!!
fanya mchakato maana wenye virutubisho vya mayai ni wengi......
Shost we acha tu, wanavyo ila havirutubishi ng'o. Yaan havina afya!!