Mimi sili ugali

Mimi sili ugali

King Kong III bebi wako huyu huku anakula zake ugali
Mbona kama AI hiyo? Hayo Mambo wanayoyaongea hao watoto yalishafanyika kitambo sana ,ni kama wanayarudia ,kuna watu walikuwa wanaitwa MAPROSOOO enzi za miaka ya 80 mpaka 90 ,wakaja MAPEDEJHEE miaka ya 2000 na sasa MATAJIRI.

Hako kabinti kanafanya marudio na mashauzi yake ,ndiyo yale ya dada akitoka mbele za watu anakunywa mahenesi lakini akiwa ghetto anakunywa VISUNGURA.
 
Demu akiwa ni pisi kali, unatakiwa utume picha mbili, moja kwa mbele na moja akionesha makalio.
 
Nlijribu kuch kula wali n ugali hata mwezi sikutobo nikavunja agano, sikujua kama vyakula hivi vina arosto, maana nlikuwa nikiuona natamani kuukumbatia
 
Back
Top Bottom