Mimi sili ugali

Mimi sili ugali

Billion Dolar

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2021
Posts
1,443
Reaction score
3,265
Wazee ogopa mungu na tekinolojia. Huyu dada alisema anatumia 200.il kwa siku, hajawahi kula ugali katika maisha yake. Watu sijui wamezoom wapi anagonga ulali na mdudu. Mnaojua location mtuambie hapa wapi
file_000000001fc0824385396d59910f05c1.png
 
Wazee ogopa mungu na tekinolojia. Huyu dada alisema anatumia 200.il kwa siku, hajawahi kula ugali katika maisha yake. Watu sijui wamezoom wapi anagonga ulali na mdudu. Mnaojua location mtuambie hapa wapiView attachment 3662052
Watoto wa mama .. wakisha shika pesa kidogo tu wanaanza ku google madhara ya ugali.
 
Baada ya habari yake ya kutokula ugali kuchuja ameona atumie ugali huohuo kurudi kwenye midomo ya watu. Mjini shule
 
Back
Top Bottom