tuko asante kwa habari,lakini mimi nataka nikuulize hiyo mishahara imepanda kwa asilimia ngapi kwenye hiyo circular ambayo umeona?na pia nataka niulize kwa upande wa madaktari mshahara umepanda kwa asilimia ngapi?kama kuna mtu ana circular naomba,au kama mtu anafahamu hizo rates naomba aziweke hapa ili itusaidie.asante.