lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,116
Stop judging people u don't know,elimu ipo ya juu na ya kutosha,gari lipo lakini nataka mtu mwenye kali kuliko langu.Fedha za matumizi ya kawaida zipo.Wanaume wengi siku hz wanapenda mteremko sana hao siwataki.Wanaume mmesahau majukumu yenu loh
BAELEZE hii BAMUTU BAELEWE!!!! Umeonaaaa! Unakuwa na bwana kila siku mkifanya kitu au mkienda kuenjoy utasikia BABY LET THIS BE YOUR TREAT, THE NEXT WILL BE MINE!!!! Hiyo next haifikiii, UTATREAT WEE MPAKA UTAKUWA DR.LOVE!!!!! wapenda vya dezo wengiiii!