Mimi pia natafuta mpenzi-Mwanaume

Mimi pia natafuta mpenzi-Mwanaume

mademu dizain hi wanakuaga wabaya 2 sema mashauzi mengi hivyo vigezo si bora ujiendee kwenye madanguro,Ohio street na ---utapata mademu wakal ambao mnamalizana siku hyo hyo na hamna kujuana hainaga kumjengea ghorofa wala nn sembuse m2 ambae dressing table yake inamdanganya yeye n mzur kupe hovyoo hata mzee pindisha cute
 
Ushapata kuna Andidilile siku hizi
 
Last edited by a moderator:
Mimi nakidhi na zaidi sana viwango, lakini sipendi Patamu kwani naogopa Sukari kwa hiyo Nakula Markhaba tu, uko teyari?
 
mademu dizain hi wanakuaga wabaya 2 sema mashauzi mengi hivyo vigezo si bora ujiendee kwenye madanguro,Ohio street na ---utapata mademu wakal ambao mnamalizana siku hyo hyo na hamna kujuana hainaga kumjengea ghorofa wala nn sembuse m2 ambae dressing table yake inamdanganya yeye n mzur kupe hovyoo hata mzee pindisha cute
kwani ni bikra yeye au njaaaa
 
Good observation,wewe kama hauna hivyo vigezo pita tu,wenzio wanavyo.Gari zuri kwa matembezi yetu,fedha kwa matumizi yetu hasa shopping,hbr ndio hy

Sure.
Safi sana Maryrose
Bora umekuwa muwazi, mwenye kuomba nafasi na aombe na mwenye kuacha na aache!Vigezo ushaweka.
 
Last edited by a moderator:
We unamilik nn? Kama sio K na shuka cdhan km unakngine tna!
 
duh!umeamua kutafuta mtu wa kumrithi?ongeza kipengele kingine hapo:- awe tayari kuandika wosia
Title imejieleza,
Vigezo na masharti vizingatiwe:
-Awe kuanzia mid 30 lkn Serengeti Boys pia watafikiriwa depending na mtu atakavyojinadi
-Awe tall
-Awe intelligent and open minded
-Awe mascular
-Asiwe diabetic
-Awe na gari zuri
-Awe na fedha za kutosha za matumizi yetu na asiwe selfish
-Awe tayari kutumia kinga siku zote
-Awe na nyumba ya gorofa
Unaweza kuapply live hapa na ukajibiwa au kwa PM zinakaribishwa ila si zote zitajibiwa.

-MBAs pia wana-equal chances in the selection
Leteni kejeli zenu sasa,can't wait.
 
Umepata leseni TRA? Kama unayo mm nataka kununua unauza shilingi ngapi? Ghorofa langu halikuhusu wala gari langu ni mali yangu wala haihusiki na biashara yako.
 
Mimi nakidhi na zaidi sana viwango, lakini sipendi Patamu kwani naogopa Sukari kwa hiyo Nakula Markhaba tu, uko teyari?
Mkuu unamaanisha hupendi barabara ya lami ambayo hata magari yasiyo na 4WD yanapita, unataka njia ya tope ambayo magari machache yenye uwezo hupita?
 
Title imejieleza,
Vigezo na masharti vizingatiwe:
-Awe kuanzia mid 30 lkn Serengeti Boys pia watafikiriwa depending na mtu atakavyojinadi
-Awe tall
-Awe intelligent and open minded
-Awe mascular
-Asiwe diabetic
-Awe na gari zuri
-Awe na fedha za kutosha za matumizi yetu na asiwe selfish
-Awe tayari kutumia kinga siku zote
-Awe na nyumba ya gorofa
Unaweza kuapply live hapa na ukajibiwa au kwa PM zinakaribishwa ila si zote zitajibiwa.

-MBAs pia wana-equal chances in the selection
Leteni kejeli zenu sasa,can't wait.

Hivi hayo matangazo huwa yanamaanisha au ni kunogesha forum?MaryRose kama uko serious angalia usije ukaend up kuwa depresses! mwanaume unaimterview kama unampa ajira? mkianza mahusiano atakuona kama mke to be, lover girl au mwajiri mapenzi?
 
Maryrose inaonesha huna hali ngumu kimaisha, napata swali la kujiuliza je, unatafuta mwanaume au unatafuta mwanaume na kuchuna? Fananua mana vigezo vyako mhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Kama nikitumbukiza dushelele yangu kwako natoka na dhahab una haki ya kudai ivo,lakin km ni kama hizo nyingine kafie mbal
 
Title imejieleza,
Vigezo na masharti vizingatiwe:
-Awe kuanzia mid 30 lkn Serengeti Boys pia watafikiriwa depending na mtu atakavyojinadi
-Awe tall
-Awe intelligent and open minded
-Awe mascular
-Asiwe diabetic
-Awe na gari zuri
-Awe na fedha za kutosha za matumizi yetu na asiwe selfish
-Awe tayari kutumia kinga siku zote
-Awe na nyumba ya gorofa
Unaweza kuapply live hapa na ukajibiwa au kwa PM zinakaribishwa ila si zote zitajibiwa.

-MBAs pia wana-equal chances in the selection
Leteni kejeli zenu sasa,can't wait.


Kumbe hivyo awe navyo tu,sio kukupatia.......kama ni hivyo ni pm nami nikupe vigezo vyangu
 
Back
Top Bottom