Title imejieleza,
Vigezo na masharti vizingatiwe:
-Awe kuanzia mid 30 lkn Serengeti Boys pia watafikiriwa depending na mtu atakavyojinadi
-Awe tall
-Awe intelligent and open minded
-Awe mascular
-Asiwe diabetic
-Awe na gari zuri
-Awe na fedha za kutosha za matumizi yetu na asiwe selfish
-Awe tayari kutumia kinga siku zote
Unaweza kuapply live hapa na ukajibiwa au kwa PM zinakaribishwa ila si zote zitajibiwa.
-MBAs pia wana-equal chances in the selection
Leteni kejeli zenu sasa,can't wait.
mimi ni msema ukweli, sina chochote sina kazi wala nini ilia ntafruhi sana kama utampata mtu mwenye hivyo vigezo ila mimi ntakuwa msaidizi wake kwani najua mtu mwenye fedha nyingi na gari zuri basi hata kwenye faragha hatokuwa mzuri kutokana na kuwa bize ila mimi ni mtaalam wakuzama chumvini kwa masaa 6 bila kupumzika ni ntakuwa available anytime kama utanihitaji mimi ni hayo tu hao wanao kejeli waache hawajui maana