King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,635
Wewe una nini ebu tiririka!!! Na wewe una shape nzuri? Je wewe chotara,mng'avu ng'avu maji ya kunde umeenda hewani sekunde? Kwenu oysterbay au masaki? Kama ndio ni PM.
Hahaha...wengine wanapendaaa! Unadhani umemkomoa kumbe ndo umemfikisha kunako!!kama kidume, unampaka vaseline.
Huyu msanii tu...Eti anatafuta mpenzi mwanaume!
Gari zuri linafananaje?Good observation,wewe kama hauna hivyo vigezo pita tu,wenzio wanavyo.Gari zuri kwa matembezi yetu,fedha kwa matumizi yetu hasa shopping,hbr ndio hy
Title imejieleza,
Vigezo na masharti vizingatiwe:
-Awe kuanzia mid 30 lkn Serengeti Boys pia watafikiriwa depending na mtu atakavyojinadi
-Awe tall
-Awe intelligent and open minded
-Awe mascular
-Asiwe diabetic
-Awe na gari zuri
-Awe na fedha za kutosha za matumizi yetu na asiwe selfish
-Awe tayari kutumia kinga siku zote
Unaweza kuapply live hapa na ukajibiwa au kwa PM zinakaribishwa ila si zote zitajibiwa.
-MBAs pia wana-equal chances in the selection
Leteni kejeli zenu sasa,can't wait.
Best umemtajia majina magumu! Taja ya huku duniani, starlet, vitz, toyo, bajaj na ile inakuwaga nyeusi mara nyingi.Gari nzuri ndiyo gari gani? Mercedez Benz, Bavaria Motor Works, Audi, Infitini, Jaguar, Maybach, Rolls Royce, Bentley etc
na starlet si ni gari zuri??
Nina hela nyingi sana, nina shilingi moja moja milioni moja, nabebea kwenye toroli.
Kha...! Kumbe unajiuza?
Best umemtajia majina magumu! Taja ya huku duniani, starlet, vitz, toyo, bajaj na ile inakuwaga nyeusi mara nyingi.
Wa aina hiyo anapatikana kwenye sinema tu. Eti pesa mingi afu mascular! Dada labda umuumbe mwenyewe. Wenye pesa nyingi wengi wana vitambi......
Heheheheh naona uko kazini . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
Gari zuri? Hela nyingi mmmmmh?
Jamani jf imeanzisha biashara nyingi aisee
Title imejieleza,
Vigezo na masharti vizingatiwe:
-Awe kuanzia mid 30 lkn Serengeti Boys pia watafikiriwa depending na mtu atakavyojinadi
-Awe tall
-Awe intelligent and open minded
-Awe mascular
-Asiwe diabetic
-Awe na gari zuri
-Awe na fedha za kutosha za matumizi yetu na asiwe selfish
-Awe tayari kutumia kinga siku zote
Unaweza kuapply live hapa na ukajibiwa au kwa PM zinakaribishwa ila si zote zitajibiwa.
-MBAs pia wana-equal chances in the selection
Leteni kejeli zenu sasa,can't wait.
Gari zuri linafananaje?
Alafu kinga ya nini tena?
Na mipesa miiiiiiingi ya nini?
Anyway nenda kwa Riz1 maana ndiye mwenye pesa nyingi na gari zuri.