Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Babu nakusalimu, yeyote utakaetoka nae naomba na mimi niwafate (nataka nikajifunze kwa observation).
Tena nshakuandalia platozoom akupe kampani. Usiogope manyoya, ugopa UKIMWI


attachment.php
 
Last edited by a moderator:
Hapa kuna nini Asprin?

Mi nipo kule kwa Agnes Masogange bana

Aisee shem cacico popote ulipo come zis way. Sikupigii kura coz nataka leo tuwe wote mtu an shemejiye.:eek2:
Hommie, Kaizer, kuhusu cacico umepotea njia ananipenda mimi tu kwasababu nampa malovee... mambo ya sex alishayapiga chini siku miiiiingi!
attachment.php
 
Last edited by a moderator:
khaaaaaaa kumbe ndio maana sikusomi? haya masogange anasemaje?? mi na masogange nani zaidi?? lol?

haaaaa cacico yani nikulinganishe na masogange kisa gani? Unadhani ninamsikiliza Asprin hapo juu eti wala nisijihangaishe na wewe..hahahaa mi nakomaa mwanzo mwisho shem leo tutoke wote .....nipo sana shem masogange ni 'upepo utapita tu'
 
Last edited by a moderator:
hivi we upo kichit chat zaidi?? chezeiya mke wa odm?? hata kama hubby wangu hana, mademu wanampenda, wanamhonga, na mi ananipa! hubby mi luv u! period!
Afu mwambie kabisa hatukujuana juzi...


attachment.php


Kamata kiss wife

attachment.php


Wenye wivu wameze viwembe viwakwame kooni.... Mmwwwwwaaahh!
 
haaaaa cacico yani nikulinganishe na masogange kisa gani? Unadhani ninamsikiliza Asprin hapo juu eti wala nisijihangaishe na wewe..hahahaa mi nakomaa mwanzo mwisho shem leo tutoke wote .....nipo sana shem masogange ni 'upepo utapita tu'
kwa kweli ungenifananisha naye ningejiona matawi! maana hii shepu ya pilipili hoho, sijui nani yu ataka kuiona, ila hubby Asprin hana shida, ye kajizoelea! haya shem tutaongea, tutapanga, itabidi tunong'one hubby asisikie! kwani mkeo gfsonwin yupo wapi?? mbona simsomi?
 
Last edited by a moderator:
Afu wife popote pale ulipo, hebu come this way nikupe haya makitu matamu....



hubby naomba training ya kugoogle pics! lol! tuifanyie rum wawili tu! lazma nitaelewa, kichwa changu si dhaifu!
 
kwa kweli ungenifananisha naye ningejiona matawi! maana hii shepu ya pilipili hoho, sijui nani yu ataka kuiona, ila hubby Asprin hana shida, ye kajizoelea! haya shem tutaongea, tutapanga, itabidi tunong'one hubby asisikie! kwani mkeo gfsonwin yupo wapi?? mbona simsomi?
Yeah... kama ambavyo weye hukujali sura yangu. Ngoma droo bana..

249768_180064322048680_100001353390483_440917_3124584_n.jpg
 
Yeah... kama ambavyo weye hukujali sura yangu. Ngoma droo bana..

249768_180064322048680_100001353390483_440917_3124584_n.jpg
ila aseee ilikuaje hii couple ikaoana?? mbona hakuna mahusiano?? jamaa atakuwa vema kunako maswala, mpaka dada wa kiphilipino, akachanganyikiwa! lol! hubby wangu usijali, pamoja na yote, nitakupenda milele!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom