Hommie, Kaizer, kuhusu cacico umepotea njia ananipenda mimi tu kwasababu nampa malovee... mambo ya sex alishayapiga chini siku miiiiingi!
hivi we upo kichit chat zaidi?? chezeiya mke wa odm?? hata kama hubby wangu hana, mademu wanampenda, wanamhonga, na mi ananipa! hubby mi luv u! period!Be serious bana, si unajua pesaaaaaa....
Hafu tarehe zenyeweeeee
khaaaaaaa kumbe ndio maana sikusomi? haya masogange anasemaje?? mi na masogange nani zaidi?? lol?
Afu mwambie kabisa hatukujuana juzi...hivi we upo kichit chat zaidi?? chezeiya mke wa odm?? hata kama hubby wangu hana, mademu wanampenda, wanamhonga, na mi ananipa! hubby mi luv u! period!
kwa kweli ungenifananisha naye ningejiona matawi! maana hii shepu ya pilipili hoho, sijui nani yu ataka kuiona, ila hubby Asprin hana shida, ye kajizoelea! haya shem tutaongea, tutapanga, itabidi tunong'one hubby asisikie! kwani mkeo gfsonwin yupo wapi?? mbona simsomi?
thanx bby! wenye wivu WAKADEKI BAHARI! nakupendaje zaidi hubby wangu?? lol!Afu mwambie kabisa hatukujuana juzi...
Kamata kiss wife
Wenye wivu wameze viwembe viwakwame kooni.... Mmwwwwwaaahh!
Yeah... kama ambavyo weye hukujali sura yangu. Ngoma droo bana..
oh sikujua, sasa huyu ummu kulthum mwanae kamrudisha kwa babake mr rocky au umekubali kuishi naye na kautundu kake?
Haya nitumie basi.hivi we upo kichit chat zaidi?? chezeiya mke wa odm?? hata kama hubby wangu hana, mademu wanampenda, wanamhonga, na mi ananipa! hubby mi luv u! period!
ila aseee ilikuaje hii couple ikaoana?? mbona hakuna mahusiano?? jamaa atakuwa vema kunako maswala, mpaka dada wa kiphilipino, akachanganyikiwa! lol! hubby wangu usijali, pamoja na yote, nitakupenda milele!Yeah... kama ambavyo weye hukujali sura yangu. Ngoma droo bana..
nimeshatuma, ikifika let mi knw!Haya nitumie basi.