Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,488
Soko la dar lilozinduliwa majuzi kati na waziri wa madini na Bashite; umejarabu fuatilia Dada ake; 1gramm inaendaje?
Dar kunogile kakake
Soko la dar lilozinduliwa majuzi kati na waziri wa madini na Bashite; umejarabu fuatilia Dada ake; 1gramm inaendaje?
100k_ 110?Dar kunogile kakake
100k_ 110?
100k_ 110?
Dar kunogile kakake
Mnaongea kwa mafumbo waone,
Hapo 100-110 hiyo 10 ya juu ndio ya kuuzia au unamaanisha nini dada angu
Means laki had laki na kumi..lakini naamimi iko juu kidg kwa week hii...hizi mbona sio coded mkuu
Na ya kuuzia hapo inakua ngapi😛😜
Nini kilimkuta mkuu....Kaka nakushauri kama unataka kuja huku usije moja kwa moja kwanza,andaa nauli ya kuna na kurudi ili unasomea mazingira kwanza.
Kuna ndugu yangu alikuja hapa Nyangarata kimyakimya aisee tulimkuta Kahama Hospital amewekewa dripu za maji na alikuwa ameshanza kunyonyoka nywele.
Doooh maskini....ila dada yangu aliondoka na ukimwi hapo
Nini kilikupata uliharisha au??Nilitegemea kukuta kwenye huu uzi rafikii hahahaha, nilifika namba 9 last week, kilichonikutaa baada ya siku tatuu..,sina hamu ila ndo utafutaji hahaha nilirudi kahama kusikilizia afya kwanza dada Manengelo
Isimani kuna nini?Achana na Kahama ni mbali sana.shuka hapo chini isimani kuna fursa kibao.au kama vipi njoo Dodoma hapa ni mji mpya unaokua haraka.njoo utege goli lako utapiga hela.
Samahani unamaanisha goli la biashara kama ipi mkuu?Achana na Kahama ni mbali sana.shuka hapo chini isimani kuna fursa kibao.au kama vipi njoo Dodoma hapa ni mji mpya unaokua haraka.njoo utege goli lako utapiga hela.
Nipo kisemvuleKwanza sema ulipo ili nikuelekeze njia kuanzia hapo ulipo
mbona nimevutwa ghaflakunA Mama anaitwa mama Marwa...!hana huduma nzuri kbs..ila utamuonea huruma wateja.. kifup ameshindwa kucontrol wateja..yy alichotuvuta ni mbuzi ana supu ya mbuz na ugali ..anapika nadhan ugali kiroba kizima.sa5 hukuti ugal..unapikwa tena na walo km 40kgs..saa10 hakuna msos..unapikwa tena saa11..saa3 hukut msos..roughly mchele naamni anapika 60kgs..ugali roughly 40kgs to 50 kgs..kiti dona na mtama!..ila huku mama.lishe unalala ulimi nje...wanachoka mnoo!lakini hakosi 1m kwa siku naamini..maana kuna mama anasema anapata 800k@
uko vizuri sanaHahhaa mwalo ni eneo unapofanyia production/processing ili upate dhahabu! hizo kelel unazosikia za machine ndo mialo hyo
2.Kota mtu anayenunua dhahabu
3.plant ni sehem unayopelea kifusi chako cha makinikia ili kupata dhababu ile ya marudio..
Mimi nilipo enda nililala kwenya guest za makontena.
Utafanya la maana aisee..hivi biashara ya nguo hasa mtumba ipoje uko?Nataka nicompete naye...!
Kunasehemu kunaitwa Kagongwa. Kuwa makini
kahama-kakola ni 137kms respectively nyie mnaosema 50-80 itakuwa mlikuja kwa ndege wakuu..