Maisha haya yanashangaza na yamejaa hali ya kuchukulia kuwa ungekuwa kitu au mtu fulani ungefanya nini: mfano mimi 1.ningekuwa nyoka ningeuma wanaozini vichakani. 2.Ningekuwa mvua ningenyesha somalia. 3.Ningekuwa mzungu ningejichubua niwe mwafrika 4.Ningekuwa Jk ningefukuza mafisadi wote Tz. 5.ningekuwa mtoto nisingezini mpaka nitakapooa. 6.ningekuwa mchawi ningetengeneza ungo na kumpa kila mtanzania. 7.ningekuwa waziri wa elimu nisingeweka division 5. EBU NA WEWE TUPIA ZAKO 2 UNGEKUWA WEWE?