Mimi nina ushuhuda kwa wanaume

Mimi nina ushuhuda kwa wanaume

Mimi nimeweza kukaa bila kushiriki tendo la ndoa toka kuzaliwa hadi sasa nina miaka 30 na sijafa. kunao wanaosema wanaume hawawezi kukaa bila ngono ila huo ni uongo.

Mimi nimeweza kuishinda tamaa ya mwili ata wewe unaweza. ata saiv nilipo sina demu na ninaishi sitaki usinzi kabisa.nasubiria hadi wakati mwafaka.
Huyu ni mtu makini sana.Asante kwa Uzi wako IKIWA ni wewe
 
Unaweza ukasema haujawahi kushiriki tendo na umezaa na unawatoto kibao

Daah ila jf… M/Mungu ibariki
 
Back
Top Bottom