MIUNDOMBINU
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 465
- 96
Wapendwa.nimepata changamoto kubwa sana na nimejawa imani kubwa sana baada ya kusoma kitabu hiki, nakuomba nawe ukisome kwa utaratibu mzuri bila haraka, soma kwa kutafakari uhalisi wa mambo kwa imani ya kufanikiwa.
Wajasiliamali ni furusa nzuri sana kuwa na kitabu kama hiki,nk.Ni kitabu kizuri sana kati ya vitabu vingi nilivyo wahi kuvisoma.
MUNGU AKUBARIKI.
Wajasiliamali ni furusa nzuri sana kuwa na kitabu kama hiki,nk.Ni kitabu kizuri sana kati ya vitabu vingi nilivyo wahi kuvisoma.
MUNGU AKUBARIKI.