Mimi ni Wakili natafuta ajira katika ofisi za Wakili wa kujitegemea

Pita tena soma ni hivi kuwa wakili tu pekee ni ofisi huna haja ya kuanza kupiga kelele kuomba ajira ule mhuri una hela so its just a brain work
Nakumbuka nilipigiwa mhuri na wakili 20,000. Acheni upumbavu mnaweza kuwa wasomi kumbe hewa. Jamaa yuko sawa kabisa. Kajitangaza, aliewaambia mawakili wanatafutwa kama zamani ni nani? Maisha ya raia yakiwa bora zaidi ndio mawakili nao hunufaika. Hali ngumu. Mnaponda wakili mwenzenu wakati yuko sawa? Nyie endeleeni kufua suti ila mtaelewa tu baadae.
 
duuu kweli tumetofautiana mi ndo kwanza naanza 1 year open baada ya kupoteza muda degree yangu ya kwanza.......hela ziko nje nje mwngne na muhuri anaulza????????????
 
Hongera kijana kwa kuwa mkweli. Potezea hao walio- kudis kwani wengi ni young lawyers kama wewe ila wanajitia ujuaji.
Ushauri wangu ukipata ajira kwenye law firm piga kazi kwelikweli show your full potential ili iwe rahisi kupanda from an employee to an Associate patner and eventually kuwa patner. It is a matter of determination wengi wameanza kama employees sasa wako mbali. Usikatishwe tamaa .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom