Mimi ni Polisi: Fastjet

Mimi ni Polisi: Fastjet

Mentor kwa nini stori zako zote zinakuwa na sad endings on ur side.....why not the other way round...
 
Pole sana Mentor,very interesting story,...nimecheka sana eti FastJet ya wanuka shombo.... huyo Violeth unaweza kuta hata hajawahi kupanda hiyo ya wanuka shombo.lolz
 
Last edited by a moderator:
Mamaweee kama kuzimia ningezimia Mimi lakini tu laki tuwili sio neno, kumbuka ukitongoza mrembo kama miss kubali gharama, siku hizi hakuna penzi, huyo kashachukuliwa na wauza samaki.
 
Sawa nimekusikia boss.huyu babu ananitafutia kesi na hatonipata
Kesi ya uhaini unaijua wewe?

Unataka nitangaze tulikofahamiana? Hunipati ng'oo
Akikupata unambie...... ntafanya party....

Nikupate mara ngapi?
Mungu wangu!!!!!!

Asprin eti umeona alichoandika huyu ndugu yako?
Natamani nikione..... kaandikaje?

Hahahahaah miss neddy ana vimchepuko vingi ajabu.... namwogopa.

Wamekwambia hivyo?
Wamekuuliza au kiherehere??

najua kabisa...imagine niko na nani sa ivi?
Kama uko na Khantwe nambie iwe mwanzo mwisho........

Ewaaaaaaaaaaaaaaa!!!!

"Bunduki bila risasi yaua namna gani"

Kama ulikuwepo....roho inatamani kunitoka hapa
Natamani ikutoke nikupe nyingine mpya........

Asprin anajua haya?
Nisingejua ningekupigia wallah!!!!!

Mentor kabwagwa tena you know...
Hahahahah Mentor? Nasema abwagwe!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kesi ya uhaini unaijua wewe?

Akikupata unambie...... ntafanya party....

Mungu wangu!!!!!!

Natamani nikione..... kaandikaje?

Hahahahaah miss neddy ana vimchepuko vingi ajabu.... namwogopa.

Wamekuuliza au kiherehere??

Kama uko na Khantwe nambie iwe mwanzo mwisho........

Ewaaaaaaaaaaaaaaa!!!!

"Bunduki bila risasi yaua namna gani"

Natamani ikutoke nikupe nyingine mpya........

Nisingejua ningekupigia wallah!!!!!

Hahahahah Mentor? Nasema abwagwe!!!!

Itakiwa upo kaunta ya juu...
 
Last edited by a moderator:
Kesi ya uhaini unaijua wewe?

Akikupata unambie...... ntafanya party....

Mungu wangu!!!!!!

Natamani nikione..... kaandikaje?

Hahahahaah miss neddy ana vimchepuko vingi ajabu.... namwogopa.

Wamekuuliza au kiherehere??

Kama uko na Khantwe nambie iwe mwanzo mwisho........

Ewaaaaaaaaaaaaaaa!!!!

"Bunduki bila risasi yaua namna gani"

Natamani ikutoke nikupe nyingine mpya........

Nisingejua ningekupigia wallah!!!!!

Hahahahah Mentor? Nasema abwagwe!!!!

Mmmmhhhhh....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom