Mimi ni Polisi: Fastjet

Mimi ni Polisi: Fastjet

Mkaguzi wa polisi wa 2012 hawezi kuwa na mshahara kidogo hivyo leo. Nimeipenda hii story lkn ubunifu wa kazi ya mwanaume haufanani na hali halisi. Huyo Vaileth haogopi mtandao wa polisi na kubambikiwa kesi au anataka kupindua gari? Hata hivyo demu wako anakupenda na ndo maana katoboa kuwa ni rafiki zake ndo walomshawishi (Adam na Eva?). Anyway, ni mtunzi mzuri wa riwaya. I appreciate you man!

Kwa hiyo una maana tumdhamini atoe kitabu?
 
Hahahaaaa, pole Askari mentor

Huyu mrakibu msaidizi wa polisi unadhani anahitaji pole? yaani mtu unazima radio call kisa umeona mchepuko? Ndo maana majambazi hayeishi kila siku mara ubungo...mbezi jogoo....mwai kibaki road...bado wale panya road...kumbwa maaskari wako bize na hawa kina nani sijui....:angry:
 
Huyu mrakibu msaidizi wa polisi unadhani anahitaji pole? yaani mtu unazima radio call kisa umeona mchepuko? Ndo maana majambazi hayeishi kila siku mara ubungo...mbezi jogoo....mwai kibaki road...bado wale panya road...kumbwa maaskari wako bize na hawa kina nani sijui....:angry:

Unamuonea afande....hata yeye ana moyo wa kupenda kama wewe.....afu mtake radhi ule haukuwa mchepuko ilikuwa njia kuu...
 
Unamuonea afande....hata yeye ana moyo wa kupenda kama wewe.....afu mtake radhi ule haukuwa mchepuko ilikuwa njia kuu...

Hahahaaa...huyu anajulikana visa vyake..kuna kingine cha Bariadi huko sijui...halafu ukiwq askari ameshasema hakuna sikukuu ujue...
 
napata shida sana kusoma maelezo marefu alafu yawe pumba kwa hasira nakuripoti kwa Mangu kwa kulidhalilisha jeshi letu na kwa taarifa yako nimesha kujua
 
napata shida sana kusoma maelezo marefu alafu yawe pumba kwa hasira nakuripoti kwa Mangu kwa kulidhalilisha jeshi letu na kwa taarifa yako nimesha kujua

Sasa wewe NCO unanitishia mimi mkaguzi wako u mzima kweli??! Ama ndo maji kupanda mlima? Askari wa .com bana....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom