Wapo waliooana kutokea mtandaoni maana waliopo mtandaoni ndio hao hao waliopo mtandaoni hakuna tofauti yoyote ni mambo ya utandawazi tuVery risk unaweza kuokota jini,mshrikina,mchoyo,mchawi mtu ana roho mbaya tu..ivi Inakuwaje mkuu mtu wa kuish nae maisha Yako yote umchague mtandaoni Mimi sielewag kabisa wat hua wanafkiria nini
Hua mnapigaga pamoja nini? Maana sio kwa kufurahia hivyo Jana ulipiga nyeto?Au ni yupe mpiga nyeto maarufu wa jf π
Yupo mtaani unamuona kwanini ujw huku shida inakua Nini,yaani ni kwanini uje huku ku risk wakt unaenda kanisani unawaona,mitaani uyu jamaa anasema anafanya kazi anaish nao kazini anawajua vizuri kbsa wengi Sasa kwanini uje hukuWapo waliooana kutokea mtandaoni maana waliopo mtandaoni ndio hao hao waliopo mtandaoni hakuna tofauti yoyote ni mambo ya utandawazi tu
Sababu wa huku vitumbua vyao sio vya baridi ni vya motoYupo mtaani unamuona kwanini ujw huku shida inakua Nini,yaani ni kwanini uje huku ku risk wakt unaenda kanisani unawaona,mitaani uyu jamaa anasema anafanya kazi anaish nao kazini anawajua vizuri kbsa wengi Sasa kwanini uje huku
Udomo zege braza, sio kila mwanaume anaweza isimamisha pisi na akafanikiwa walau kuchukua namba.Yupo mtaani unamuona kwanini ujw huku shida inakua Nini,yaani ni kwanini uje huku ku risk wakt unaenda kanisani unawaona,mitaani uyu jamaa anasema anafanya kazi anaish nao kazini anawajua vizuri kbsa wengi Sasa kwanini uje huku
Ni dalili moja wapo ya kugongewa mkeoUdomo zege braza, sio kila mwanaume anaweza isimamisha pisi na akafanikiwa walau kuchukua namba.
Mwanaume kusaka pisi mtandaoni ni dalili mojawapo ya udomo zege.
Ndio hao hao wapo humuMkuu bila kukuvunjia heshima..kwanini mnatftafa wanawake humu mtandaoni,
Mbona mitaani,sehemu za ibada wamejaa kibao na unaweza kuchagua Kwa kumuona kabisa na ukamchunguza kama ivyo vigezo unavyovitaka anavyo,why unakuja huku mtu humjui hujui background yake tatzo linakua Nini..
Ndio ukweli huoSi kweli, hakuna formula mwalimu ya kupata mwanamke nakwambia serious, kuna mademu out there, wengi ni malaya tu, wapo waliotulia hata humu pia
ππShem id ya siku zote ni ipi ili tujipimie ustahimilivu wa huu uchumba
Mmh asiwe Malaya ,sa utajuaje km sio Malaya?Hello,
How are you guys, kama kichwa cha habari kilivyo jieleza, mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo
1. Mrefu mweusi
2. Umri wangu 30
3. Graduate, Christian
4. Muajiliwa/ nimejiajiri pia
,wala sivuti sigara, wala siendi club
5. Ninaishi Dar es salaam
Sifa za mwanamke nimtakaye
1. Uwe mkristo na usiwe na mtoto
2. Umri lazima uwe na 18 hadi 32
3. Uwe na shughuli za kukuingizia kipato
4. Msafi wa mwili na roho
5. Uwe na akili timamu, (hapa nakazia)
6. Usiwe mnywaji, mvutaji wala malaya
7. Akili kichwani hapa nirudie tena
No formula,walioko mitandaoni ndo haohao walioko mtaaniVery risk unaweza kuokota jini,mshrikina,mchoyo,mchawi mtu ana roho mbaya tu..ivi Inakuwaje mkuu mtu wa kuish nae maisha Yako yote umchague mtandaoni Mimi sielewag kabisa wat hua wanafkiria nini
ππππSampling za UDSM na kile Chuo kingine si uliziona kwenye Video kule wakimnyofoa mwenzao nywele au hukuona?
πππππSampling za UDSM na kile Chuo kingine si uliziona kwenye Video kule wakimnyofoa mwenzao nywele au hukuona?
Wangapi wameoa wanaowajua hizo background mwisho wa siku wamewatenda vby?Mkuu bila kukuvunjia heshima..kwanini mnatftafa wanawake humu mtandaoni,
Mbona mitaani,sehemu za ibada wamejaa kibao na unaweza kuchagua Kwa kumuona kabisa na ukamchunguza kama ivyo vigezo unavyovitaka anavyo,why unakuja huku mtu humjui hujui background yake tatzo linakua Nini..
Nenda kwa kina Mr RightHello,
How are you guys, kama kichwa cha habari kilivyo jieleza, mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo
1. Mrefu mweusi
2. Umri wangu 30
3. Graduate, Christian
4. Muajiliwa/ nimejiajiri pia
,wala sivuti sigara, wala siendi club
5. Ninaishi Dar es salaam
Sifa za mwanamke nimtakaye
1. Uwe mkristo na usiwe na mtoto
2. Umri lazima uwe na 18 hadi 32
3. Uwe na shughuli za kukuingizia kipato
4. Msafi wa mwili na roho
5. Uwe na akili timamu, (hapa nakazia)
6. Usiwe mnywaji, mvutaji wala malaya
7. Akili kichwani hapa nirudie tena