Mimi ni mwalimu, naacha kazi nijiajiri

Mkuu upo Mori sehem gani. Mi naishi Iringa natafuta sana sehemu ambayo naweza kupata shamba zuri lenye maji kwa kilimo. Morogoro niliwahi kuplan kuhamia huko lakn mambo yakakwama nikaahirisha. Mkuu naomba mrejesho wa sehem gani nzuri
Mkuu uzuri wa shamba inategemea na vipaumbele vyako unataka kulima kilimo cha namna gani hasa.

Kuna baadhi ya wilaya wamebase kwenye kilimo cha mpunga tu na nyinginezo wanalima mazao mbalimbali.
Jambo la msingi sana ni kupata shamba lenye chanzo cha maji ya uhakika. Usikimbilie kumiriki shamba kubwa lisilo kidhi hadhi ukaishia kulaumu make morogoro ya sasa sio kama zamani mvua zimekuwa haba sana.

Mimi mashamba yangu yapo wilaya ya Mvomero. Zao kuu la biashara ni mpunga na mahindi japo kila zao linastawi.
 
Ni kutojielewa unatakiwa kufanya nn Kama una degree kwa mwezi unapokea si chini ya laki 7 au zaidi kulingana na miaka uliofanya kazi, ukienda kukopa benki kwa mshahara huo ukosi million 20, bado umekatiwa bima ya hafya ww na familia yako hapo unataka upewe nn zaidi? Mi nnacho kushauri kopa Fanya biashara au ongeza degree ya pili hizo option mbili zitakuweka pazuri ila usiache kazi kisa una million mbili mfukoni ni hela ndogo sana kwa maisha ya sasa, ukienda ukakwaa kisiki umepotea jiandae kwanza tengeneza mradi utakaoweza kuingiza kipato unachopata sasa au zaidi ukifanikiwa Acha kazi kwa amani mkuu!
 
Mkuu uzuri wa shamba inategemea na vipaumbele vyako unataka kulima kilimo cha namna gani hasa.

Kuna baadhi ya wilaya wamebase kwenye kilimo cha mpunga tu na nyinginezo wanalima mazao mbalimbali.
Jambo la msingi sana ni kupata shamba lenye chanzo cha maji ya uhakika. Usikimbilie kumiriki shamba kubwa lisilo kidhi hadhi ukaishia kulaumu make morogoro ya sasa sio kama zamani mvua zimekuwa haba sana.

Mimi mashamba yangu yapo wilaya ya Mvomero. Zao kuu la biashara ni mpunga na mahindi japo kila zao linastawi.
Mkuu nimekutumia namba yangu PM naomba tuwasiliane
 
hongera kwa kujitambua.. japo kama huna familia huu ni wakati wa kujaribu kila kitu kuna muda utafika hutaweza kujaribu chochote sababu ya watoto wanaokutegemea....
Kuna kitu umeshtua ubongo wangu mkuu heshma ako kwel huu ndo mda
 
Kiuhalisia kazi ya kufundisha inataka moyo, ndio maana wanaita kazi ya wito!

Kama uliingia kwa nia ya kupata maslahi kamwe haitakufaa, waachie wale walioitwa......

Kila la heri.
ni sawa jeshi ama kuwa askari ukienda huko ili utoke kimaisha jamani na wakati tunataka askari mzalendo aliye tayari kuifia ardhi yake pendwa wewe unawaza kupata mshahara. Fanya kazi unayoipenda mkuu ila kama unaataka utajiri ni biashara au uwe mwizi.zingine ni passion yako uwe unaitimiza
 
Mdogo wangu unafanya uamuzi mazuri japo sitamani kabisa kuona mwalimu wa Sayansi (PCM/B atatoka katika ajira kwani tuna upungufu mkubwa wa waalimu wa SAYANSI

Mimi kama dada yako nakushauri yafutayo;

1. Natumaini hujaoa na kama umeoa mke wako anaweza kuendesha familia wakati huu wa kuingia kwenye ajira yako mpya? tofauti na hapo fikiria upya
2. Hela uliokusanya usiingize yote kwenye kilimo na kama unaiingiza yote hakikisha eneo unalolima lina uhakika wa maji (ya kunywesha)
3. Ningetamani uanze huo uekezaji kwa mwaka huu wa kwanza wakati bado upo kwenye ajira
unajua wakati huu wa kwanza hata kama vibarua watakuibia kidogo hapo hapo utakuwa unajifunza changamoto
4. Nakutakia mafanikio mema na usiache kutuletea mrejesho!!!
 
Mdogo wangu unafanya uamuzi mazuri japo sitamani kabisa kuona mwalimu wa Sayansi (PCM/B atatoka katika ajira kwani tuna upungufu mkubwa wa waalimu wa SAYANSI

Mimi kama dada yako nakushauri yafutayo;

1. Natumaini hujaoa na kama umeoa mke wako anaweza kuendesha familia wakati huu wa kuingia kwenye ajira yako mpya? tofauti na hapo fikiria upya
2. Hela uliokusanya usiingize yote kwenye kilimo na kama unaiingiza yote hakikisha eneo unalolima lina uhakika wa maji (ya kunywesha)
3. Ningetamani uanze huo uekezaji kwa mwaka huu wa kwanza wakati bado upo kwenye ajira
unajua wakati huu wa kwanza hata kama vibarua watakuibia kidogo hapo hapo utakuwa unajifunza changamoto
4. Nakutakia mafanikio mema na usiache kutuletea mrejesho!!!
Kweli. Ila hata kama ameoa ni bora mke na watoto wateseke sasa, walale njaa huku baba akipambana. Mbona miaka 5 atakuwa na mwelekeo mzuri kuliko kuendelea na maisha haya miaka nenda rudi, kimshahara kikiongezeka na makato yanaongezeka huku vitu sokoni vikipanda mara mbili. Inaniuma sana kuona unasaini hela kuubwa lakini PAYEE, LAPF wanakula chao mapema nabakiziwa kidogo.
Mi nataka niwasacrifice mama na mwana ili baadae wacheke, Mungu nisaidie
 
Swali lang mkuu...hiyo mil 2 uliyonayo....itakusaidia nini au.utafanyia nini.....naiona ni ndogo mno......
 
Swal langu mkuu hiyo mil 2 utafanyia nn ...Mimi naiona kama ndogo mno
 
kama ni hivyo mbona huu mshahara unafanya mambo mengine kabisa naona baadhi ya shule za binafsi mishahara huwa hiyo laki 7, kuna watu wanalipwa laki 3 na wanaishi fresh.
Wengi wanadharau mshahara wa uwalimu bila kujua wanalipwaje, tatizo sio mshahara ni watu hawaipendi hiyo kazi. Period, mishahara sio tatizo tuachage uongo.
 
Rejea maelezo yako niliyoyarejea mpk kukueleza hili halafu ukumbuke kuwa toka aingie huyu mheshimiwa hakuna cha nyongeza ya mishahara wala increament kwa walimu mbali na kutopanda madaraja so hali ya mshahara wa mwl upo stagnant usisahau kuzingatia kuwa tofauti ya kiwango cha mshahara kwa madaraja tofauti kwa walimu ni kidogo sana yaani mfano mwenye E1 hawezi kujigamba sana kwa mwenye D1 japo wamepishana umri kazini miaka mingi
Anamiaka 30 ndio ameanza kazi, huo ni uongo.
 
Anza na kilimo biashara iyo itakutoa kimaisha ualimu endelea unavyoweza endelea kusubili matokeo ya mipango yako
 
Back
Top Bottom