Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,165
mimi ni tajiri ndo maana najiita hivyoSasa kwanini unajiita tajiri magomeni?
mimi ni tajiri ndo maana najiita hivyoSasa kwanini unajiita tajiri magomeni?
Wewe haupo mbali na kujinyonga,maana hizo ni dalili za mwanzo za wengi wanaojinyonga.Nakuombea hayo yasikupate.Je papuchi hutumiii? Ni bora wewe una marafiki wawili wanakutosha kabisa mimi sina rafiki nipo pekee yangu
Ah!!!wapi.Marafiki wana nafasi yao ktk maisha huwezi kuwa bize kivyako muda wote.Binafsi huwa nashangaa mtu ana DStv ndani
Anapata mda WA kuzurura nyumba za watu..
Wewe ndo inatakiwa watu wengi wawe kama wewe..
Uki concentrate na kitu utafanikiwa..
Na hakutufai kwel maan waswahil kwa maneno uchelew kuskia anajishaua na hana mbele wala nyumaItabidi muhamie majuu huku hakuwafai


Hii ya kupend urafk n wanawake tu ww unatuwekea mashak kdgoMkuu tunafanana kwa kiasi kikubwa sana, kiuhalisia napenda kua mpweke sanaaa,
Sina mwanaume yoyote ambae yupo kama rafiki wa karibu hata ndugu zangu sipendi kua karibu nao.
Hata misiba na sherehe sipendi kushiriki, ikibidi sana nawatumia mchango shughuli imeishia hapo,
Marafiki zangu 98% ni wanawake ndio unaeza kuta nikonao bize hata kuchati kwa simu.
Kuna saa natamani niifukuze familia nibaki mwenyewe au niwatoroke nkaishi mwenyewe.
Sina hofu sana sasa hivi na hii hali nahisi ndio nmeumbwa hivyo.


Inategemea wewe umeelewaje na umewaza nini....Hii ya kupend urafk n wanawake tu ww unatuwekea mashak kdgo![]()
Hapo kuna tatzo si shakaMkuu tunafanana kwa kiasi kikubwa sana, kiuhalisia napenda kua mpweke sanaaa,
Sina mwanaume yoyote ambae yupo kama rafiki wa karibu hata ndugu zangu sipendi kua karibu nao.
Hata misiba na sherehe sipendi kushiriki, ikibidi sana nawatumia mchango shughuli imeishia hapo,
Marafiki zangu 98% ni wanawake ndio unaeza kuta nikonao bize hata kuchati kwa simu.
Kuna saa natamani niifukuze familia nibaki mwenyewe au niwatoroke nkaishi mwenyewe.
Sina hofu sana sasa hivi na hii hali nahisi ndio nmeumbwa hivyo.
hapana Malaya sinunui kwa Sasa nakula tunda kimasihara.😀😀,!so upole ndo unawabeba.so unaishije unanunua malaya
kweli kabisa wazo zuri.!introvert itabidi mtengeneze umoja wenu
Mkuu tunafanana kwa kiasi kikubwa sana, kiuhalisia napenda kua mpweke sanaaa,
Sina mwanaume yoyote ambae yupo kama rafiki wa karibu hata ndugu zangu sipendi kua karibu nao.
Hata misiba na sherehe sipendi kushiriki, ikibidi sana nawatumia mchango shughuli imeishia hapo,
Marafiki zangu 98% ni wanawake ndio unaeza kuta nikonao bize hata kuchati kwa simu.
Kuna saa natamani niifukuze familia nibaki mwenyewe au niwatoroke nkaishi mwenyewe.
Sina hofu sana sasa hivi na hii hali nahisi ndio nmeumbwa hivyo.
kumbe tuko wengi hivi.!?Ulijuaje!!huwa hatunaga muda na mademu ila tunajikuta kwenye mahusiano pasipo kutongoza
Hahaha lala uote tenaWewe haupo mbali na kujinyonga,maana hizo ni dalili za mwanzo za wengi wanaojinyonga.Nakuombea hayo yasikupate.
Uko kama mimi sinaga habari na mambo ya watu, naweza kaa mahali hata mwaka ni majirani nisiwajue hata majina..
Sipendi kufatilia mambo ya wengine, na mtu akitaka nimfungie vioo basi aanze kuchimba chimba mambo yangu.
Ndivyo ulivyo inabidi uinjoy tu.
Kwa hiyo unabisha?Hahaha lala uote tena