Mimi ni mtu wa aina gani?

Mimi ni mtu wa aina gani?

Habari wana jamii forums.

Twende moja kwa moja kwnye mada.

Mimi ni kijana wa rika fulani 20-30 ni mfanya biashara.

Sababu zilzonifanya niandike huu uzi ni kutokana na maisha ninayoyaishi mpaka muda mwingine najikuta najishangaa na kujiona ni kama mtu wa ajabu

Iko hivi kwa kipindi changu chote huwa sinaga marafiki, watu wangu wa karbu especially ninaoishi nao mtaa mmoja wanajitaidi sana kujenga urafiki na mimi kwa kuja nyumbani na kunijulia hali mara nyngi ila mimi binafsi sinaga hali hiyo ya kusema niende kwa rafiki kumtembelea hata kama yuko karbu na mm. Mpaka sasa nina marafiki wawili tu ambao niko based nao kwa upande wa nyumban yaani mtaani ambao naweza kwenda mahala pao ama kuspend some areas with them ila wengine ote waliobaki ni kuwasalimia kwa salamu tu njiani bac

In short ni kwamba sina tabia ya kujichanganya na watu yaani marafiki ,niko radhi nikae ndani kutwa nzima.

Sabubu ambazo nimejaribu kuchunguza na kuziona kwangu ni kwamba. ''huwa napenda sana kukaa mahala tulivu especially alone'' pia huwa najikuta mtu ambaye nakua interested naye ni yule ambaye namuona anakitu ambacho kinaweza kuwa na mchango kwangu kwa kifupi ambaye ni mfanya biashara pia.

Sifuatilii KITU CHOCHOTE .
Sifuatilii mpira
Sifuatili ngumi, kuogelea ,basket wala mchezo wowote ule katika huu ulimwengu.

Kilichinileta humu ni mnisaidie niweze kujitambua kwamb mimi ni mtu wa aina gani? Huenda labda bdo cijajitambua bado wapendwa
Naombeni msaada wapendwa huenda siko sahihi kwa haya maisha ninayoishi....
Ni kawaida tena hauko peke yako.

Mimi sinywi pombe, sivuti sigara, siyo mtu partying wala totoz, siyo shabiki wa mpira, betting wala movies 🤣🤣

Yaani mimi maisha yangu nayajua mwenyewe tu na niko vizuri kabisa, nikiwa stressed nalala tu.

Muda mwingi nazurula tu mitandaoni, naandika andika basi.

Tena hata kupigiwa simu siku hizi hususani zisizo na maana yoyote nakereka sana😠
 
Habari wana jamii forums.

Twende moja kwa moja kwnye mada.

Mimi ni kijana wa rika fulani 20-30 ni mfanya biashara.

Sababu zilzonifanya niandike huu uzi ni kutokana na maisha ninayoyaishi mpaka muda mwingine najikuta najishangaa na kujiona ni kama mtu wa ajabu

Iko hivi kwa kipindi changu chote huwa sinaga marafiki, watu wangu wa karbu especially ninaoishi nao mtaa mmoja wanajitaidi sana kujenga urafiki na mimi kwa kuja nyumbani na kunijulia hali mara nyngi ila mimi binafsi sinaga hali hiyo ya kusema niende kwa rafiki kumtembelea hata kama yuko karbu na mm. Mpaka sasa nina marafiki wawili tu ambao niko based nao kwa upande wa nyumban yaani mtaani ambao naweza kwenda mahala pao ama kuspend some areas with them ila wengine ote waliobaki ni kuwasalimia kwa salamu tu njiani bac

In short ni kwamba sina tabia ya kujichanganya na watu yaani marafiki ,niko radhi nikae ndani kutwa nzima.

Sabubu ambazo nimejaribu kuchunguza na kuziona kwangu ni kwamba. ''huwa napenda sana kukaa mahala tulivu especially alone'' pia huwa najikuta mtu ambaye nakua interested naye ni yule ambaye namuona anakitu ambacho kinaweza kuwa na mchango kwangu kwa kifupi ambaye ni mfanya biashara pia.

Sifuatilii KITU CHOCHOTE .
Sifuatilii mpira
Sifuatili ngumi, kuogelea ,basket wala mchezo wowote ule katika huu ulimwengu.

Kilichinileta humu ni mnisaidie niweze kujitambua kwamb mimi ni mtu wa aina gani? Huenda labda bdo cijajitambua bado wapendwa
Naombeni msaada wapendwa huenda siko sahihi kwa haya maisha ninayoishi....
Wewe ni introvert mkuu.
Tena bora hata wewe una marafiki wawili.

Uko sawa tu mkuu.
 
Habari wana jamii forums.

Twende moja kwa moja kwnye mada.

Mimi ni kijana wa rika fulani 20-30 ni mfanya biashara.

Sababu zilzonifanya niandike huu uzi ni kutokana na maisha ninayoyaishi mpaka muda mwingine najikuta najishangaa na kujiona ni kama mtu wa ajabu

Iko hivi kwa kipindi changu chote huwa sinaga marafiki, watu wangu wa karbu especially ninaoishi nao mtaa mmoja wanajitaidi sana kujenga urafiki na mimi kwa kuja nyumbani na kunijulia hali mara nyngi ila mimi binafsi sinaga hali hiyo ya kusema niende kwa rafiki kumtembelea hata kama yuko karbu na mm. Mpaka sasa nina marafiki wawili tu ambao niko based nao kwa upande wa nyumban yaani mtaani ambao naweza kwenda mahala pao ama kuspend some areas with them ila wengine ote waliobaki ni kuwasalimia kwa salamu tu njiani bac

In short ni kwamba sina tabia ya kujichanganya na watu yaani marafiki ,niko radhi nikae ndani kutwa nzima.

Sabubu ambazo nimejaribu kuchunguza na kuziona kwangu ni kwamba. ''huwa napenda sana kukaa mahala tulivu especially alone'' pia huwa najikuta mtu ambaye nakua interested naye ni yule ambaye namuona anakitu ambacho kinaweza kuwa na mchango kwangu kwa kifupi ambaye ni mfanya biashara pia.

Sifuatilii KITU CHOCHOTE .
Sifuatilii mpira
Sifuatili ngumi, kuogelea ,basket wala mchezo wowote ule katika huu ulimwengu.

Kilichinileta humu ni mnisaidie niweze kujitambua kwamb mimi ni mtu wa aina gani? Huenda labda bdo cijajitambua bado wapendwa
Naombeni msaada wapendwa huenda siko sahihi kwa haya maisha ninayoishi....
Jaribu kubadili aina ya maisha unayoishi uone kama bado utaendelea kuwa hivyo

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Yani huna tofaut kabisa na mm. Mda mwngne kama naona huyu simu yake itakuwa haina maana huwa sipokei kabisa
Ni kawaida tena hauko peke yako.

Mimi sinywi pombe, sivuti sigara, siyo mtu partying wala totoz, siyo shabiki wa mpira, betting wala movies

Yaani mimi maisha yangu nayajua mwenyewe tu na niko vizuri kabisa, nikiwa stressed nalala tu.

Muda mwingi nazurula tu mitandaoni, naandika andika basi.

Tena hata kupigiwa simu siku hizi hususani zisizo na maana yoyote nakereka sana
 
Ulijuaje!! huwa hatunaga muda na mademu ila tunajikuta kwenye mahusiano pasipo kutongoza
hapana ni zaidi ya moja na wote walinipenda wenyewe.si unajua Tena introvert ni waoga kutongaza mademu..!

So mademu utupenda wenyewe kutokana na upole wetu.!
 
Sielew n nn kinafanya watu waamin mtu anayefanya mishe zake ni mchoyo ,mbinafsi sijuin nn kinawakumba watu wenye hyo akil

Hamjui watu aina hii wanaptia shda gan na wanakuwa affected sana pale wanapoangushiwa lawama ambzo kwao si za kwel

Tunaishi dunia tofauti ni ngumu kumuelewa introvent kama ww sio introvent. Kuwa introvents ni zaid ya mateso kwa jamii za kiafrica
Nawe uko hivo mkuu?
 
Back
Top Bottom