Boeing 757
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 288
- 623
Dah tupo wengi sana ...kiasi kwamba chuoni wananiona mbinafsi mwenye majivuno na n.k.ila ndio hivyo ndugu we are introvert na jamii huwa inatuchukulia negative sana
KabisaaDah tupo wengi sana ...kiasi kwamba chuoni wananiona mbinafsi mwenye majivuno na n.k.ila ndio hivyo ndugu we are introvert na jamii huwa inatuchukulia negative sana
Hata Mimi Niko hivyo kwakweli ..kawaida kbs. Marafiki wengi ni mzigoMbona karibu kila mtu yuko hivyo tu
mchapisha uzi hajui tu.. Tupo wengi watu wa type kama yakeJe papuchi hutumiii? Ni bora wewe una marafiki wawili wanakutosha kabisa mimi sina rafiki nipo pekee yangu
Ukikaa mwenyewe unagundua mambo mengi yana kaujinga ujinga. Sema ndio hivyo ..binadamu anakuwazwa na mazoea. Kuzurula hovyo, kupoteza muda, ni vitu nisivyopenda..Sawa
Mkuu, Haupo Peke Yako. Tupo Wengi Tu Wa Aina Hiyo!Naonaga huenda kama siko sahihi
Mzee unafanya kazi gani?Ndugu yangu marafiki wengi wa nini kuwa nao wengine chenga tu kuwa na jamaa zako wachache wa faida hata siku ukipata tatizo ni rahisi kukusaidia, binafsi nina washikaji sio wengi sana si unajua ile kimtaa mtaa unapita unawapa hi unasepa zako lakini nina marafiki au kama ndugu lake langu langu la kwake but kama huna shughuli ya kufanya tulia home binafsi nikitoka zangu kazini jioni huwa nina ratiba ya kwenda kucheza mpira au kukimbia so sina mda wa kupiga stori za vijiweni
nitakitafuta hicho kitabuHaupo pekeyako wala hilo sio tatizo kama unataka kujua zaidi tafuta hobi ambayo unapenda. Kwa mfano kama unapenda kusoma vitabu vya kukupa siri hiyo unayoitaka kujua soma mtiririko wa vitabu vya mtu anaitwa Carlos Castaneda anaelezea mafundisho flani hivi kutoka kwa mzee anaitwa Don Juan Matus huyu mzee ni Red Indian utapata majibu sahihi.
demu wako nae ni introvertWewe utakuwa ni introvert tu Kama Mimi.![]()
Nimeajiliwa kwenye kampuni fulani mkuumzee unafanya kazi gani?
TV haina umuhimu wowote katika maisha ya binadamu esotericallyBinafsi huwa nashangaa mtu ana DStv ndani
Anapata mda WA kuzurura nyumba za watu..
Wewe ndo inatakiwa watu wengi wawe kama wewe..
Uki concentrate na kitu utafanikiwa..