wapendwa katika bwana
nimetatizwa na kitu hapa,mimi ni mlokole nasali Efatha bible,nimejaribu kuomba na ku connect na baadhi ya wapendwa wenzangu lakini nahisi sikufanikiwa
ila imekuja kutokea nikaonana na mwanamke ambaye anasali roman catholic na tumependana sana japo sikutarajia wala sikua na plan yoyote ya kumwoa
naomba ushauri kwa yafuatayo:
kama nikioa mtu ambaye hajaokoka je nitaathirika kiroho?
je naweza kumuudhi mungu kwa hilo?
je maisha yetu huko mbele ya safari yatafika mbali?
je anaweza kuathiri wokovu wangu?
je naweza kwenda mbinguni?
je unafikiri naweza kumshawishi huko mbele ya safari akaokoka?
Inategemeana, je unamwonaje msimamo wake kwenye wokovu? wewe umeokoka maana yake unajitambua na unajitahidi kutotenda dhambi, mfano uzinzi! umejitunza? Yeye je ni kama wewe? amejitunza? au ana mahusiano ambayo hajakueleza kwa kuwa anajua kuwa akikueleza unaweza usimuelewe!!!?
Umeshawahi kuongea naye kwa habari ya ndoa? au wewe unafikiri kumuoa wakati yeye hajui? Ongea naye kwa kuwa wewe ndio unamjua vizuri kuliko sisi, kama hataki kuokoka itakusumbua uko mbele.
kuhusu kumwoa tumeongea sana na yupo tayari,mahusiano alikuwa nayo kwa sababu ana mtoto mmoja na hawajawahi kuishi pamoja,kuhusu usumbufu mbele ya safari nahisi ndugu inaweza kuwa hivyo lakini namwona ni mwanamke mnyenyekevu sana kuliko wengi niliokutana nao makanisani
wapendwa katika bwana
nimetatizwa na kitu hapa,mimi ni mlokole nasali Efatha bible,nimejaribu kuomba na ku connect na baadhi ya wapendwa wenzangu lakini nahisi sikufanikiwa
ila imekuja kutokea nikaonana na mwanamke ambaye anasali roman catholic na tumependana sana japo sikutarajia wala sikua na plan yoyote ya kumwoa
naomba ushauri kwa yafuatayo:
kama nikioa mtu ambaye hajaokoka je nitaathirika kiroho?
je naweza kumuudhi mungu kwa hilo?
je maisha yetu huko mbele ya safari yatafika mbali?
je anaweza kuathiri wokovu wangu?
je naweza kwenda mbinguni?
je unafikiri naweza kumshawishi huko mbele ya safari akaokoka?
Angalia mambo yafuatayo,
1.Mtoto wake : una-muadapt? au anaenda kwa baba yake?
2.Imani yake: Anakuja kwako? au unaenda kwake.
3.Ndugu: huyo mke ni wa kwako sio wa ndugu, hivyo patana na moyo wako.
4.Ex-wake: pata uhakika kuwa wamemalizana kabisa na hasa hatima ya mtoto.
Kwa kuwa wewe umechagua fungu lililo jema hakikisha na yeye anafata fungu ulilochagua.
Kama ni mnyenyekevu hawezi kukataa.
wapendwa katika bwana
nimetatizwa na kitu hapa,mimi ni mlokole nasali Efatha bible,nimejaribu kuomba na ku connect na baadhi ya wapendwa wenzangu lakini nahisi sikufanikiwa
ila imekuja kutokea nikaonana na mwanamke ambaye anasali roman catholic na tumependana sana japo sikutarajia wala sikua na plan yoyote ya kumwoa
naomba ushauri kwa yafuatayo:
kama nikioa mtu ambaye hajaokoka je nitaathirika kiroho?
je naweza kumuudhi mungu kwa hilo?
je maisha yetu huko mbele ya safari yatafika mbali?
je anaweza kuathiri wokovu wangu?
je naweza kwenda mbinguni?
je unafikiri naweza kumshawishi huko mbele ya safari akaokoka?
Wewe. na watu8 mmeonge point sn.Angalia mambo yafuatayo,
1.Mtoto wake : una-muadapt? au anaenda kwa baba yake?
2.Imani yake: Anakuja kwako? au unaenda kwake.
3.Ndugu: huyo mke ni wa kwako sio wa ndugu, hivyo patana na moyo wako.
4.Ex-wake: pata uhakika kuwa wamemalizana kabisa na hasa hatima ya mtoto.
Kwa kuwa wewe umechagua fungu lililo jema hakikisha na yeye anafata fungu ulilochagua.
Kama ni mnyenyekevu hawezi kukataa.
This is y i hate religion but ilove jesus..calling others blind doest mean tht u got a clear vision..nyinyi walokole hvi kuokoka ndo kusalia uko kwenye hayo makanisa yenu??alokwambia waroma awajaokoka ninani?unauahakika baaada ya kuokoka kwako utendi dhambi?ama ndo painting a grave wakati ndani kumeoza?mwenye mamlako ya kuhukumu ni mungu tu..acheni hizo ..
Mkuu nahisi unaelewa sana kinachonitatiza
kuhusu baba wa mtoto walishamalizana kwani alishaoa mwanamke mwingine,lakini ana uhusiano wa karibu na yule bibi wa mtoto wake yaani mama wa x wake
kuhusu mtoto atabakia na uhusiano na baba yake kwani hata sasa hivi wana uhusiano mzuri
kuhusu imani yupo tayari kunifata kwa ,Mwingira
Mkuu nahisi unaelewa sana kinachonitatiza
kuhusu baba wa mtoto walishamalizana kwani alishaoa mwanamke mwingine,lakini ana uhusiano wa karibu na yule bibi wa mtoto wake yaani mama wa x wake
kuhusu mtoto atabakia na uhusiano na baba yake kwani hata sasa hivi wana uhusiano mzuri
kuhusu imani yupo tayari kunifata kwa ,Mwingira