sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 2,895
- 5,909
Huko kigoma hakuna migahawa,hotel,viwanda vidogo vidogo...nenda stand ya basi yale maduka ya pembeni huwa wanawapa machinga maji,mikate,soda,biscuits, vocha,unaweka kwenye kikapu unawauzia abiria.
Baadae muda wa kufunga hesabu unapewa posho yako...hapa lazima utafahamiana na madereva na makondakta watakuoa lift uje dar au kwa hela ndogo sana
Ukifika dar kuna makampuni mengi sana kuna kazi za vibarua hapa unawahi asubuhi sana getini jitahidi uvae vizuri..kwa siku malipo ni 5500 hadi elfu 9000..
Baada ya kazi nenda kwa mama ntilie omba kazi ya kuosha vyombo ili uwe unapewa chakula bure..ukizoeleka hilo litakua getto lako mana utakua unalala hapo kama mlinzi.
Maisha ni safari mkuu usikate tamaa
Baadae muda wa kufunga hesabu unapewa posho yako...hapa lazima utafahamiana na madereva na makondakta watakuoa lift uje dar au kwa hela ndogo sana
Ukifika dar kuna makampuni mengi sana kuna kazi za vibarua hapa unawahi asubuhi sana getini jitahidi uvae vizuri..kwa siku malipo ni 5500 hadi elfu 9000..
Baada ya kazi nenda kwa mama ntilie omba kazi ya kuosha vyombo ili uwe unapewa chakula bure..ukizoeleka hilo litakua getto lako mana utakua unalala hapo kama mlinzi.
Maisha ni safari mkuu usikate tamaa