Rukube
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 246
- 477
Acha hizo kutokusoma sio kilema,nasio kwamba hajataka kusoma ila mazingira hayakua rafiki kwa maelezo yakeWw mwenyewe ungemuelewa usinge andika hivi bali ungemsaidia ombi lake.
Narudia tena umri wa miaka 21 alitakiwa awe shuleni. Mnamsifia ujinga eti sijasoma lakini nna uelewa wa kuwazidi waliosoma. That is foolish.
Kama ana uelewa atafute kazi kimyakimya bila matangazo.
Kwa umri wake mara mia aombe support ya kusoma QT kuliko ku okoteza izo mia mbili mia tatu anazozitaka