Mimi natafuta mchumba nipo serious

Sasa inakuuma vipi wakati aliyetoa tangazo hata sura tuu hujamuona usikute anasura ya babu yake alafu anataka handisamu
Yaani unajua ni kama job seeker unapoona hauna sifa hata ya kazi unazoziona za kawaida lazima roho ikuume
 
mmmh huyo mtu kwa kukusaidia chukua udongo ubumbe mwenyew
 
Hivi kwa umri wa miaka 32-40 mwanaume asiwe amepata mtoto huoni mitambo ina hitilafu kwanza utamilikije silaha ndani isiyofanyiwa jaribio?
 
Unatafuta wanaume wengi kwa wakati mmoja,,,
1,handsome
2,Msomi
3,Asiwe bahili




Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Woudaa mamlidee! Niko fasi za Ngarna hapa bakta na mavigezo ooote niko nayo. Fanya niachia hizo madigits fasi ya PM nikusarandie moro mida flani utasikia ng'ora inakuita tuyajefenge mamlide hapa umepata chalii OG ya gachustan.
Duh, asa hapa ndio umesema nini!!!!
 

Dunia ya sasa ni ngumu kumpata mwenye vigezo hivyo.
 

Alafu nikuulize, wewe ni mwarabu au mzungu Mpaka utake vigezo vyote ivyo!!!
 
Kama yupo mkatoliki asie na mtoto anichekiwhats app nimtumie pic 0712505049 ume usizid 30 awe ba adabu mim ni 33 msukuma /mnyamwez watapewa nafas ya juu aje tuenjoy life.
 
Uache kuzarau makanisa ya watu mkizidiwa na mapepo mnaenda kwenye hayohayo makanisa yasiyotambulika
 
Unajua kuifinyia kwa ndani?
Hizo sifa zote nnazo na nusu.
 
Asiwe mchungu ??????
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…