Hebu watanzania tuwe makini tuachane na hawa Chadema kwa siasa zao za fujo. Mbona kunavyama vingi sana lakini Chadema ndio wanakufa zaidi? NCCR was powerful but mauaji hayakuwepo. Mauwaji yanatokea CHADEMA wanavuluga uchunguzi. Mimi nashauri CHADEMA ifutwe. Maandamano ya nini? Hii nchi inatawaliwa na waafrika tena kwa kupokezana vijiti. Kwani uhuru maana yake nini? Watawala si malaika. Mimi naona CHADEMA ni kivuruge tu.
Hebu watanzania tuwe makini tuachane na hawa Chadema kwa siasa zao za fujo. Mbona kunavyama vingi sana lakini Chadema ndio wanakufa zaidi? NCCR was powerful but mauaji hayakuwepo. Mauwaji yanatokea CHADEMA wanavuluga uchunguzi. Mimi nashauri CHADEMA ifutwe. Maandamano ya nini? Hii nchi inatawaliwa na waafrika tena kwa kupokezana vijiti. Kwani uhuru maana yake nini? Watawala si malaika. Mimi naona CHADEMA ni kivuruge tu.
mkuu kichekesho hiki ulibonyeza nin kwenye cm kukipata? mie nimebonyeza nyota holaaaHebu watanzania tuwe makini tuachane na hawa Chadema kwa siasa zao za fujo. Mbona kunavyama vingi sana lakini Chadema ndio wanakufa zaidi? NCCR was powerful but mauaji hayakuwepo. Mauwaji yanatokea CHADEMA wanavuluga uchunguzi. Mimi nashauri CHADEMA ifutwe. Maandamano ya nini? Hii nchi inatawaliwa na waafrika tena kwa kupokezana vijiti. Kwani uhuru maana yake nini? Watawala si malaika. Mimi naona CHADEMA ni kivuruge tu.
Hebu watanzania tuwe makini tuachane na hawa Chadema kwa siasa zao za fujo. Mbona kunavyama vingi sana lakini Chadema ndio wanakufa zaidi? NCCR was powerful but mauaji hayakuwepo. Mauwaji yanatokea CHADEMA wanavuluga uchunguzi. Mimi nashauri CHADEMA ifutwe. Maandamano ya nini? Hii nchi inatawaliwa na waafrika tena kwa kupokezana vijiti. Kwani uhuru maana yake nini? Watawala si malaika. Mimi naona CHADEMA ni kivuruge tu.
kwani who is mtulia mpaka asababishe polisi wapige watu risasi?But watu waangamia sasa bila sababu za msingi. Kwani who is salim walimu mpaka watu muandamane na kupigwa mabomu. Mnahadaa watu wanapigwa watu wanaumia.
hivi wewe ndiye ulikuwa unatangaza clouds fm siku za nyuma?But watu waangamia sasa bila sababu za msingi. Kwani who is salim walimu mpaka watu muandamane na kupigwa mabomu. Mnahadaa watu wanapigwa watuwanaumia.
Elimu ipi ya inafundisha fujo ni shuluhisho la matatizo? Always mazungumzo ndio suluhishoTatizo ni Elimu Elimu Elimu,unajua umuhimu wa upinzani?
Elimika na hautoleta hoja ovyo kama hii
Ushauri mzuri sana kwake Mkuu ,nnaamini atakapo fikia hatua ya kujitambua ata yajutia maneno yake sana .
Nipe jibu la maana ya uhuru. na unipe evidance mahari gani fujo imekuwa suluhisho la matatizo popote duniani. CHADEMA mnatamani Tanzania iwe kama Siria. Fujo haija3wahi kuwa suluhu.Kweli chadema wauaji wamempiga risasi tundulisu hadharani mchana kweupe nakamera za cctv wakazificha na stahiki za matibabu wakamnyima..chadema walimwua kamanda mawazo hadharani mpaka leo hawajakamatwa chadema wanaua raia nakutupwa baharini mpaka leo hawajakamatwa chadema ndyo wanaoratibu utekaji wa watu nakuahadi kuwarudisha ref roma....kwnn hawa chadema wasikamatwe uwiiii wasije wakaniteka na mm
Ok, who is Mtulia mpaka watu walazimishwe awe mbunge wao? Uchaguzi ndio haki ya msingi kabisa ya mwananchi kupata kiongozi ampendae na ukiona serikali inatumia polisi kuweka mtu madarakani kwa nguvu huo hauna tofauti na ukoloni wa mabavu.But watu waangamia sasa bila sababu za msingi. Kwani who is salim walimu mpaka watu muandamane na kupigwa mabomu. Mnahadaa watu wanapigwa watu wanaumia.
Nitazidi kukuombeaBut watu waangamia sasa bila sababu za msingi. Kwani who is salim walimu mpaka watu muandamane na kupigwa mabomu. Mnahadaa watu wanapigwa watuwanaumia.
Haki ndio msingi wa amani mahala popote na kwenye jamii yoyote ile, hayo mengine unayoandika sijui Chadema na blah blah kibao ni ujinga wako na wanaccm wenzio mlio zoea dhulumaHebu watanzania tuwe makini tuachane na hawa Chadema kwa siasa zao za fujo. Mbona kunavyama vingi sana lakini Chadema ndio wanakufa zaidi? NCCR was powerful but mauaji hayakuwepo. Mauwaji yanatokea CHADEMA wanavuluga uchunguzi. Mimi nashauri CHADEMA ifutwe. Maandamano ya nini? Hii nchi inatawaliwa na waafrika tena kwa kupokezana vijiti. Kwani uhuru maana yake nini? Watawala si malaika. Mimi naona CHADEMA ni kivuruge tu. Watamani maisha ya Siria, Libya, Misri, na Tunisia. Kwanini wasiende huko wajifunze madhara ya maandamano? Political unrest ikitokea si CCM wala CHADEMA itabakia. Wanachi watakufa sana. Hebu ni wapi au nchi gani amabapo fujo imekuwa suluhisho la matatizo?
mshana jr utakuwa unapoteza muda wako kumuombea huyo, ni kama baba yao ambaye naona siku hizi haombi tena watu wamuombee kwani amegundua kuwa sasa hawatamuombea mema bali kulaani.Nitazidi kukuombea