Kaisari
JF-Expert Member
- Nov 13, 2012
- 3,636
- 3,045
Hapakuwa na haja kuitisha uchaguzi, halafu mnalazimisha ushindi. Mmeitisha uchaguzi wa nini sasa.Hebu watanzania tuwe makini tuachane na hawa Chadema kwa siasa zao za fujo. Mbona kunavyama vingi sana lakini Chadema ndio wanakufa zaidi? NCCR was powerful but mauaji hayakuwepo. Mauwaji yanatokea CHADEMA wanavuluga uchunguzi. Mimi nashauri CHADEMA ifutwe. Maandamano ya nini? Hii nchi inatawaliwa na waafrika tena kwa kupokezana vijiti. Kwani uhuru maana yake nini? Watawala si malaika. Mimi naona CHADEMA ni kivuruge tu. Watamani maisha ya Siria, Libya, Misri, na Tunisia. Kwanini wasiende huko wajifunze madhara ya maandamano? Political unrest ikitokea si CCM wala CHADEMA itabakia. Wanachi watakufa sana. Hebu ni wapi au nchi gani amabapo fujo imekuwa suluhisho la matatizo?
Mngeteua tuu mtu wenu mnaemtaka mumtangaze. Na sie tungeridhika tuu,
Yanini kukereheshana kumwaga damu, kupotezeana muda. Hali mna yenu mmepanga.