mimi na mabintu wa facebook

mimi na mabintu wa facebook

bid2015

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
306
Reaction score
59
kwann mabinti wa facebook wanajirahisisha sana kwangu? au ni kwa kila mtu? maana nimeshagaragaza mademu saba kwa msaada wa fb wawili kutoka chuo kikuu cha saut mwanza wawili wa ifm na mmoja wa udsm. sasa najiuliza ni mm tu au na wenzangu yanawakuta?
 
kwann mabinti wa facebook wanajirahisisha sana kwangu? au ni kwa kila mtu? maana nimeshagaragaza mademu saba kwa msaada wa fb wawili kutoka chuo kikuu cha saut mwanza wawili wa ifm na mmoja wa udsm. sasa najiuliza ni mm tu au na wenzangu yanawakuta?

Mi nadhani mligalagazana, tabia zenu nyote zinalingana wewe na hao mabinti. (ndio mambo ya mitandao - sex movies na picha mitandaoni huamsha hisia sana kwa vijana, usione ajabu unavyowashangaa hao madada nao wanajiuliza wavulana wasiku hizi wanapenda ngono kupita kiasai.

Kama ni chemical equation believe me is chemically balanced
 
Mi nadhani mligalagazana, tabia zenu nyote zinalingana wewe na hao mabinti. (ndio mambo ya mitandao - sex movies na picha mitandaoni huamsha hisia sana kwa vijana, usione ajabu unavyowashangaa hao madada nao wanajiuliza wavulana wasiku hizi wanapenda ngono kupita kiasai.

Kama ni chemical equation believe me is chemically balanced
hivi inawezekana tunashangaana eeeh
 
Na wao 7 wamekugaragaza, duh hivi kumbe vibamia vingine ni useless kiasi hicho? Yaani ni kama kijiko cha mgahawani, kila mtu analikorogea supu na kuishia, pptuuh!
Disgusting!!!

Wapi King'asti na Kongosho?
 
Last edited by a moderator:
hivi inawezekana tunashangaana eeeh

Kama umeweza kugalagazana na mabinti 7 je wavulana wangapi wamegalagazana nao kabla yako assume kila mmoja anagalagazana kila siku na mtu mwingine, yaani wewe ndiyo sample ya wavulana not repetitive so kwanini kila mmoja asishangae? ni mtazamo tu!
 
Kama umeweza kugalagazana na mabinti 7 je wavulana wangapi wamegalagazana nao kabla yako assume kila mmoja anagalagazana kila siku na mtu mwingine, yaani wewe ndiyo sample ya wavulana not repetitive so kwanini kila mmoja asishangae? ni mtazamo tu!
vijana wa siku hizi ndivyo walivyo
 
U are very cheap!!!!mabinti saba wamekutumia fasta.....
 
vijana wa .com mnamatatizo sana sisi wa S.L.P. mambo yenu ya uso wa kitabu hatuya jui
 
huna lolote,that is troll kama sikosea asante mdau kwa kuwajua hawa watu.
 
kwann mabinti wa facebook wanajirahisisha sana kwangu? au ni kwa kila mtu? maana nimeshagaragaza mademu saba kwa msaada wa fb wawili kutoka chuo kikuu cha saut mwanza wawili wa ifm na mmoja wa udsm. sasa najiuliza ni mm tu au na wenzangu yanawakuta?

Itabidi nirudi darasani nijifunze hesabu za kujumlisha, halafu karne hii bado mtu anajisifia kutembea na wanawake wengi!!!
 
Badamu wana tofautiana sana wengine wakijifunza tabia wakiona hakuna anaye hoji kuhusu tabia hiyo,udiriki kuchukua kipaza sauti na kutamka hadharani kuwa mimi nina tabia fulani!

Lazima tujue kuwa hakuna tabia inayo kosa wafuasi.

kwann mabinti wa facebook wanajirahisisha sana kwangu? au ni kwa kila mtu? maana nimeshagaragaza mademu saba kwa msaada wa fb wawili kutoka chuo kikuu cha saut mwanza wawili wa ifm na mmoja wa udsm. sasa najiuliza ni mm tu au na wenzangu yanawakuta?
 
Back
Top Bottom