Mimi mgeni

Mimi mgeni

WIZARD

Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
72
Reaction score
9
Ngo x 4...hodi,,,wenye boma ii..! nimekuja juzi toka shamba naombeni mnipokee,,! baada ya hapo naomba mnisaidie, nataka kubadili UZA NEM nifanyaje wahishimiwa.
 
Karibu sana Jamvini...kubadili uza nem mtumie PM invisible..usisahau kumtajia jina jipya utakalo.
 
Karibu sana Jamvini...kubadili uza nem mtumie PM invisible..usisahau kumtajia jina jipya utakalo.
khaaa, huyu mgeni kweli kiboko, anataka kubadili uza nem leo, leo, why? Sangara mpatie mgeni thoda aendelee kunywa.
 
Karibu sana...kumbuka kupekua kile kitabu cha wageni....JF rules, ili upate kusign humo. Otherwise enjoy
 
  • Thanks
Reactions: BAK
khaaa, huyu mgeni kweli kiboko, anataka kubadili uza nem leo, leo, why? Sangara mpatie mgeni thoda aendelee kunywa.

Nilikuwa nakusubiri utoe idhini...mgeni wetu dada nicola...watumia kinywaji gani?
 
Athe wathee mimi nashukuu nashukuru thanaee, naio kinywag ya maunden juu cifaham kwe c ifam kweli, labda iv uku mjin hamna maali naeza pata hata kitoch k 1 cha mbege kweli..?
 
Ohoo samahann jaman unajua nmeingia na viatu, daa, mbaya zaidi vinamatope ya kuzd. yaan huko nilikotoka io mvua usiombe.
 
wazee asanten kwa kunielekeza, nshabatizwa jina jingine na big brother forum.
 
Back
Top Bottom