Kop0
Member
- Oct 6, 2021
- 71
- 96
Naenda kwa mada moja kwa moja.
Hivi Juzi kati nilihamia kwenye nyumba moja mkoa X. Jirani alinipokea vizuri sana ila kutokana na nature ya kazi wote kurudi night tulishindwa kuwa marafiki.
Jirani mara nyingi navyokuwa sipo anawaamuru vijana wangu wafanye vitu ambavyo sijawaagiza mfano fundi kaja kutengeneza labda kitu, nikitoka anaenda kumwambia fanya hivi. Siku alikosea kaja nipo mwenyewe home. Nikamuwakia sana nusu kumchapa ngumi maana nilikuwa kwangu yeye kaja.
Baada ya ugomvi kuisha nilimuita mwenyekiti wa mtaa nikamweleza akamwambia mshikaji asiingie kwenye boma langu.
Baada ya hapo jamaa na mke wake wamekuwa wananiogopa sana. Anaweza badili hata njia akiniona.
Sasa nataka aniogope mara thelathini ya hapa, naombeni maujanja jinsi ya kumtisha huyu mtu.
Hivi Juzi kati nilihamia kwenye nyumba moja mkoa X. Jirani alinipokea vizuri sana ila kutokana na nature ya kazi wote kurudi night tulishindwa kuwa marafiki.
Jirani mara nyingi navyokuwa sipo anawaamuru vijana wangu wafanye vitu ambavyo sijawaagiza mfano fundi kaja kutengeneza labda kitu, nikitoka anaenda kumwambia fanya hivi. Siku alikosea kaja nipo mwenyewe home. Nikamuwakia sana nusu kumchapa ngumi maana nilikuwa kwangu yeye kaja.
Baada ya ugomvi kuisha nilimuita mwenyekiti wa mtaa nikamweleza akamwambia mshikaji asiingie kwenye boma langu.
Baada ya hapo jamaa na mke wake wamekuwa wananiogopa sana. Anaweza badili hata njia akiniona.
Sasa nataka aniogope mara thelathini ya hapa, naombeni maujanja jinsi ya kumtisha huyu mtu.