Mimi Laban og nipigwe ban Simba akishinda leo

Mimi Laban og nipigwe ban Simba akishinda leo

Japo nimechelewa ila naomba mods mkiona tu makolo wameshinda hata kama mlikua mmelala mkimbie haraka sana ofisini mnipige ban ndefu ya siku mbili consecutively

Kama hamtakuwa na bundle....nipigieni simu ntawatumia bundle

Haiwezekani timu mbovu kama Simba .....imtwange MUARABU [emoji14][emoji14]

Naomba kuwasilisha

NB kuamini Simba atashinda leo.....ni Moja ya dalili ya uwendawazimu[emoji14]View attachment 3297535

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kushinda anaweza kushinda lakini kuvuka atavuka kwenda kigamboni sio nusu fainali
 
Japo nimechelewa ila naomba mods mkiona tu makolo wameshinda hata kama mlikua mmelala mkimbie haraka sana ofisini mnipige ban ndefu ya siku mbili consecutively

Kama hamtakuwa na bundle....nipigieni simu ntawatumia bundle

Haiwezekani timu mbovu kama Simba .....imtwange MUARABU [emoji14][emoji14]

Naomba kuwasilisha

NB kuamini Simba atashinda leo.....ni Moja ya dalili ya uwendawazimu[emoji14]View attachment 3297535

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Paw chakula yako hii, isionekane baada ya dk 90.
 
Japo nimechelewa ila naomba mods mkiona tu makolo wameshinda hata kama mlikua mmelala mkimbie haraka sana ofisini mnipige ban ndefu ya siku mbili consecutively

Kama hamtakuwa na bundle....nipigieni simu ntawatumia bundle

Haiwezekani timu mbovu kama Simba .....imtwange MUARABU [emoji14][emoji14]

Naomba kuwasilisha

NB kuamini Simba atashinda leo.....ni Moja ya dalili ya uwendawazimu[emoji14]View attachment 3297535

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Paw Active Moderator waione kwenye jalada...
 
Japo nimechelewa ila naomba mods mkiona tu makolo wameshinda hata kama mlikua mmelala mkimbie haraka sana ofisini mnipige ban ndefu ya siku mbili consecutively

Kama hamtakuwa na bundle....nipigieni simu ntawatumia bundle

Haiwezekani timu mbovu kama Simba .....imtwange MUARABU [emoji14][emoji14]

Naomba kuwasilisha

NB kuamini Simba atashinda leo.....ni Moja ya dalili ya uwendawazimu[emoji14]View attachment 3297535

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Moderator Boqin nk huyu memba muishi nae hapa mpaka dakika 90 ale ban ya karne
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom