Kuna Andrew Nyerere na Deo Kisandu. Hizi namba mbili inabidi uzielewe tu maana usipozielewa unaweza kutokwa povu bila sababu.
Andrew sijamuona siku nyingi hapa.Hao jamaa 2 nawaelewa sana, wana akili sana hadi zinapunguza maarifa.
HahahahahahahSidhani kama kuna anayemsumbua maana anayoyaandika mara nyingi hayaingii akilini. Kwa mfano aliwahi kuandika humu kuna watu Dar hawataki aingie jiji la maraha hivyo wamejenga matuta kuzunguka Dar ili asiingie lakini yeye akadai Dar lazima azuke tu.
Duuu.....habari sana, bombardier ngapi hapo zinapatikana kwa mkwanja huo??