Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,863
- 54,097
Dah! Mtemi una madai mengi kuliko wale jamaa wa Canada. Ukifanikiwa kupata madai yako na nchi itafilisika.
Huyu jina lake la kwanza kabisa alipokuja duniani ni mashaka.We jamaa unamatatizo gani mbona unamkosi ninamashaka kama wewe ni raia wa Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizo barua ulikua unaweka Lamination? Maana kitambo sana!
Hafu niliona Fb umesema Magufuli kakuibia jina lako pia ulitakiwa ww ndio upitishwe kuhombea uraisi ila wakakuteka wakampitisha magufuli vp kesi yako hiyo imeishia wap?
Nadhan na ww unajidhalilisha zaid Mkuu!!!Kwani kulikuwa na ulazima gani wa wewe kuquote thread ndefu kiasi hicho na kisha kucomment neno moja tu?
eti nyetiMhhhh! Huyu siku anaweza kuweka nyeti zake humu! Hana ndugu huyu, jamaa au marafiki wa karibu wamsaidie? Duh!