Mributz
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 253
- 627
Mimi na mke wangu tuna mtoto mmoja ambae tulimpata 2020
Ilaa baada ya kujifungua tu ndani ya 1 month akapata mimba nyingine nkamwambia toa coz hali ya maisha sio nzuri.ikapita miaka sasa nahaja ya mtoto ....... Mimba anashika ila zinaharibika
Yani hii ya pili sasa inaharibika
N:B ipo hivi mimba anashika ikifika miezi miwil anatokwa na damu tu
Conclusion:
Msaada wa maswala ya uzazi jaman nifanyeje ...
Ilaa baada ya kujifungua tu ndani ya 1 month akapata mimba nyingine nkamwambia toa coz hali ya maisha sio nzuri.ikapita miaka sasa nahaja ya mtoto ....... Mimba anashika ila zinaharibika
Yani hii ya pili sasa inaharibika
N:B ipo hivi mimba anashika ikifika miezi miwil anatokwa na damu tu
Conclusion:
Msaada wa maswala ya uzazi jaman nifanyeje ...