Mimba za kuzimu

Mshana nakuelewa sana bro ......... Napenda sana post zako
 
Enyi kizazi cha Nyoka... Yesu aliwaita baadhi ya watu hivyo... na yasemekana Cain alikuwa ni mzaliwa wa Nyoka na aliendeleza uzao wake hadi leo hii upo... kipindi cha Yesu aliwaita kabisa kwa mdomo wake... Mtoto wake alikuwa ni Abel naye alidanja
 
Sasa apo nieleweshe vizur inakuwaje mtu anasema kwajina la yesu na kuombea kumbe anatumia jini

Uku navojua mapepo na ata ibilisi akitajiwa jina la yesu anashindwa kuzur.
 
Duh wewe jichawi ni kivumbi
 
Jichawi ni njni ushauri wako katika hili? Tufanyeje? It is becoming complicated really. Je tusali vipi na wapi?
 
Na ndio maana tuliaswa kwa uwazi kabisa kuhusu manabii wa siku za mwisho kuwa watakuwa na uwezo hata wa kuhamisha milima na kufufua watu lakini .TUSIWAAMINI HAO.
Mshana. Tufanyeje sasa? Kule roman catholic tunaambiwa hawaneni kwa neno hivyo hawawezi kupambana na nguvu za giza. Hawa kina gwajima dizaini ndo mnasema hivyo. Tusalije na wapi sasa? Au chumbani tu peke yangu ndio mpango mzima?
 
Asante kwa some hili, nimejifunza mengi sana mkuu
 
Naamini wewe ni mganga wa kienyeji,mtume au nabii,ingawa kiuhalisia mko kwenye chungu kimoja.Mimi binafsi naomba kujua,hivi ulifanya fanyaje mpaka huyo dada akapata mimba ya kuzimu?Tafadhali tufahamishe.
 
Mkuu jichawi kuna sehem umezungumzia juu ya jinn mkubwa mwenye kuogopewa na wenziwe......kwani wanatofautiana? Na je, kama wewe unapotaka kumfuga jini wa namna hiyo unampata wapi na unamuhifadhi wapi na chakula unampa kipi?
Ni katika kubadilishana Elimu mkuu usione tabu
 
Sheitwani hajui kuumba kabisa,hapa naona kina SINUNA.com.....
 
Sheitwani hajui kuumba kabisa,hapa naona kina SINUNA.com.....
Swala la kuumba ni uwezo wa Kimungu na hapa hakuna sehemu yeyote palipoandikwa anaumba, kuwa makini hapa unazungumza na watu wenye fani zao kama ilivyo fani nyingine, ukiniambia kwenye injini ya ndege kuna kitu chaitwa jina fulani siwezi kukubishia maana sina elimu hiyo, hivyo naweza tu kukuuliza na sio kubisha kwamba hakipo wakati sijawahi shika hata spana.
Ufafanuzi; jinn ana miujiza hivyo anaweza fanya miujiza ili wewe umuamini na kumuacha Mungu wako.
Je, umesahau uweza wa jinn? Rejea kitabu pale ibilisi alipompaisha Yesu mpaka juu ya mlima na kumwambia amuabudu na kumuonyesha milki za dunia kuwa atampa, umeona nguvu ya shetani? Ikiwa yeye aliyetakaswa yamemkuta hayo sembuse sisi? Ikiwa yeye alibebwa na kupaishwa je, hawa wanaovaa suti na kusema shetani toka ndio bora? Tulia Mkuu uijue dunia
 
Ujumbe murua kwa wanao mkufuru Mungu kwani kwa kila jambo unapaswa kumwona Mungu akusaidie sasa unakuta kila kukicha dada zetu miguu na njia kwa waganga, huko akiambia nipe p.... au t... GO hawezi kataa mwisho wa siku wanaambulia magonjwa nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…