Wapendwa habari za saa hizi..
Nina mimba ya wiki sita naona matone ya damu kama brown. Nimeambiwa na doctor nitumie Duphastone na nipumzike siku saba, je itasaidia?
Na kuna mtu alishawahi kupata hali kama yangu akafanyaje akazuia hii hali?
Nishaurini mwenzenu nalia tu hapa nilipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mimba ya wiki sita naona matone ya damu kama brown. Nimeambiwa na doctor nitumie Duphastone na nipumzike siku saba, je itasaidia?
Na kuna mtu alishawahi kupata hali kama yangu akafanyaje akazuia hii hali?
Nishaurini mwenzenu nalia tu hapa nilipo.
Sent using Jamii Forums mobile app