Hiyo Mimba Inaghalama Ndogo Sana Watu Wanataka Ledbull 4 Kila Siku.
Afadhali ye mimba yake inahitaji unavyoweza kuvimudu. Wengine mimba huwa zinawachukia wenzi wao!! Yaani hatamani hata kukuona usoni!
Labda hamudu soda. Unajua soda nne kwa siku ni 700x 4? Halafu piga kwa mwezi. Kama ni mwanafunzi hiyo inaweza kuwa shida kidogo.
Hiyo ni hatari kwa mjamzito kunywa vitu vya baridi anaweza kusababisha mtoto kupana nyumonia
Ni risk kwa meno kutobokakumbe anaendana na wangu nae bila pepsi nne kwa siku sio yeye. kuna day nikanunua kreti but hazikumaliza masaa 24 kwishaaa so sa izi nikasema umezidi zisije leta madhara nikakata huduma sasa ndo anajinunulia atakavyo muda mwingine napiga mwnyewe bila ruksa.mbaya zaid anakunywa zinazoelekea kuganda ila nashukuru kuna wadau wamesema hazina madhara. misosi anapenda isiyo n garama ndiz choma mihogo ugali dagaa etc jpo kuna kipnd mpk nikasem sirudii maana kila ck presha hosp mpk icu
Ni risk kwa meno kutoboka
Mtembeleeni dentist kumtaka ushauri juu ya hilo, au atumie soda zenye sweetener badala ya zenye sukari.ahsante kwa ushaur ila yaani kwa ubishi ni namba moja hatashauriki
kweli ndio maana huwa tuna-fail mitihani hivihivi, kwani wapi kasema anakunywaga soda za baridi
Fanya booking kabisa, kila siku gari la Coca cola liwe linapita hapo nyumbani
.......Huyo soda tu mbona nafuu!! Mie nilikuwa nataka kuku wa kienyeji mchemsho kila siku na soda ya fanta ndio maji.
Huwa nikikumbuka nacheka sana, we vumilia......akishusha tu hata tamani hiyo coke. Ni hormones za mimba hizo.