Mimi nlianza kwenye ukwaju mara sausage nkaishia kwenye miwa,nilikuwa naenda stand za daladala nanunua miwa ya buku na nilikuwa sipendi kuombwa,mzigo ulivyoshuka hata miwa sikuitaka tena
Kiwango kikubwa cha soda kwa mjamzito siyo salama..kuna ugonjwa unaitwa kisukari unaweza ukampata atakapokua karibu kabisa au wakati wa kujifungua.
Mimi nlianza kwenye ukwaju mara sausage nkaishia kwenye miwa,nilikuwa naenda stand za daladala nanunua miwa ya buku na nilikuwa sipendi kuombwa,mzigo ulivyoshuka hata miwa sikuitaka tena
You serious??
Seriously
Mmmmhhh.......??
Kweli kabisa ,licha ya baridi soda kiafya si nzuri
Hiyo ni hatari kwa mjamzito kunywa vitu vya baridi anaweza kusababisha mtoto kupana nyumonia
Seriously
Hivi huu uchoyo unatokaga wapi manake mi mwenyewe sitaki Mtu aniombe chochote yaani nikila kitu Mtu akaomba mood inabadilika kabisa